Israeli

Israeli

Tusaidie kutuelewesha Mwarabu ni nani?
Nchi yoyote inayotumia lugha ya kiarabu ni "waarabu" ndo maana unaambiwa waarabu sio race ila ni watu ambao wana utamaduni mmoja au uliofanana. Wasudan ambao ni weusi na wa Lebanon ambao wapo kama wazungu wote wanaitwa waarabu japo ni race tofauti.
 
Nchi yoyote inayotumia lugha ya kiarabu ni "waarabu" ndo maana unaambiwa waarabu sio race ila ni watu ambao wana utamaduni mmoja au uliofanana. Wasudan ambao ni weusi na wa Lebanon ambao wapo kama wazungu wote wanaitwa waarabu japo ni race tofauti.

Sudan ipi ya Waarabu weusi? Sudan ya Albashir au ya Salva Kir.
 
Chuki zako zitakupeleka pabaya, jirekebishe mkuu,, mbona black wengine hatuko hivyo!!

Ebu nikuulize wewe hapo ulipo unamaendeleo gani umeyapata kwa chuki zako??

mimi sina chuki nao. tatizo wewe una mihemko. Mimi nimeuliza maendeleo gani Mwafrika atayapata kutoka kwa Mwarabu. waarabu waliwahi kuutawala Mwambao wa Afrika ya Masharaiki kwa miaka mingi kuliko mgeni yeyote yule. Wametuachia maendeleo gani?
 
Al bashir

basi huijui Sudan. basi tukurekebishe kidogo ingawa siku hizi mnapindisha kiaina ili kuficha sijui nini. Mwarabu ni race kama ilivyo Wachina, Wahindi, Waafrika na hata Wazungu. eti siku hizi na Somalia ni taifa la kiaarabu.
 
basi huijui Sudan. basi tukurekebishe kidogo ingawa siku hizi mnapindisha kiaina ili kuficha sijui nini. Mwarabu ni race kama ilivyo Wachina, Wahindi, Waafrika na hata Wazungu. eti siku hizi na Somalia ni taifa la kiaarabu.
Kwani Somalia kuwa taifa la kiarabu kuna tatizo gani? Kama waarabu wote wanaitambua Somalia na sudan na ni wanachama wa arab league wewe unakataa nini? Wewe unawajua waarabu vizuri kuliko wao wenyewe?
 
upo sahihi. wa village nauliza Mwafrika ategemee kupata maendeleo gani kwa Mwarabu? waarabu walitawala mwambao wa Pwani yaAfrika Mashariki kwa mamia ya miaka kuluko mgeni yeyote yule. wametuachia maendeleo gani?

Umeenda mbali mno, sina maana hiyo....rudia kusoma post za mwanzo utanielewa
 
mimi sina chuki nao. tatizo wewe una mihemko. Mimi nimeuliza maendeleo gani Mwafrika atayapata kutoka kwa Mwarabu. waarabu waliwahi kuutawala Mwambao wa Afrika ya Masharaiki kwa miaka mingi kuliko mgeni yeyote yule. Wametuachia maendeleo gani?

Chuki huondosha maendeleo...ulishawahi kuona mtu anamhusudu mwenzie ama ndugu yake na akawa salama??
 
two state solution seems like a stable solution___ I hate wars ,it was the solution of our ancestors but we are not them ,we have peace we should use it as a solution for the better tommorow
 
upo sahihi. wa village nauliza Mwafrika ategemee kupata maendeleo gani kwa Mwarabu? waarabu walitawala mwambao wa Pwani yaAfrika Mashariki kwa mamia ya miaka kuluko mgeni yeyote yule. wametuachia maendeleo gani?
Wakati stima inawaka unguja,mkwawa alikuwa bado anatambaa...
 
Chuki huondosha maendeleo...ulishawahi kuona mtu anamhusudu mwenzie ama ndugu yake na akawa salama??
Mbona Wamarekani wanatamba kiuchumi kila kukicha na wanawaponda vipya wenzao na kuiba rasilimali za wengine kila leo.
 
Unguja hao wanaotumia umeme wetu bure hadi leo hii na mchele tunapelekea toka bara au wengine. kwa mantiki hiyo si ilitakiwa iwe zaidi ya Dubai na Paris au!
Kweli,baada ya muungano,ilitakiwa unguja iendelee sana,sijui tatizo nini
 
Kwani Somalia kuwa taifa la kiarabu kuna tatizo gani? Kama waarabu wote wanaitambua Somalia na sudan na ni wanachama wa arab league wewe unakataa nini? Wewe unawajua waarabu vizuri kuliko wao wenyewe?
Udini unawasumbua nyie! kamwe ukishaingiza kichwa chako chote katika dini huwezi kuona mapungufu wala madhaifu yaliyo. Waarabu ni race kama ilivyo Wachina, wazungu, waafrika , wahindi na kwingineko. Hilo la Arab League umoja wa udini, wamejificha tu huko kwenye lugha. Hata hivyo Somalia wanatumia Kisomali na siyo Kiaarabu. Kiarabu ni nyongeza kama ilivyo Kiingerezakwa huku kwetu.
Hata sisi ni sehemu ya Jumuiya ya Madola lakini hilo haliwezi kutufanya kuwa Waingereza au Wazungu. bado tunabaki kuwa Waafrika na watanzania.
 
Back
Top Bottom