uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 3,999
- 8,386
Baada ya magaidi Hamas kuwasilisha mpango ambao unamwelekeo wa kukomesha vita
Mkuu wa mosad bwana david ataongoza ujumbe wa Israeli ktk mazungumzo yanayolenga kusimamisha vita
Mtakumbuka hapo awail magaidi wa hamas walitoa shurba kibao ili kuwezeshwa kusitishwa kwa vita kisa kilichopolekea israeli kutohudhuria mazungumzo
Safari hii wamekuwa wapole
Tuombe vita visimame kwasababu magaidi yaliyobaki yalishatupa silaha na kujifanya raia wema
Mkuu wa mosad bwana david ataongoza ujumbe wa Israeli ktk mazungumzo yanayolenga kusimamisha vita
Mtakumbuka hapo awail magaidi wa hamas walitoa shurba kibao ili kuwezeshwa kusitishwa kwa vita kisa kilichopolekea israeli kutohudhuria mazungumzo
Safari hii wamekuwa wapole
Tuombe vita visimame kwasababu magaidi yaliyobaki yalishatupa silaha na kujifanya raia wema