Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,135
- 34,107
Habarini Wadau,
Leo hii Nchi ya Israel kupitia Msemaji wake wa jeshi (IDF) imetuma rasmi jeshi lake la Uwokozi msaada kwa Binadamu nchini Uturuki
Akiongea Msemaji huyo amesema kwamba
''Hawawezi kusahau historia yao na Uturuki na wapo tayari kutoa msaada wao wote kwa wananchi wa Uturuki''
Katika Comments za wananchi wengi wa Uturuki wameishukuru sana Israel kwa msaada wao wa kujitoa pamoja na kutoa silaha nyingi za uwokozi kwaajili ya waturuki.
Aidha wamesema sio suala la Siasa au Dini ila ni suala la Utu na Upendo. Zaidi wapo Waturuki wengi walioandika kuwa ISRAEL ni rafiki wao Mkubwa na sio nchi za kiarabu.
Unaweza kuona jinsi ambavyo Waislam wa Mbagala rangi tatu na Magomeni Mapipa wanavyoichukia Israel na kusema kuwa ni Adui wa Waislam.
Baadhi ya Comments za wananchi wa Uturuki ni hizi zifuatazo
Leo hii Nchi ya Israel kupitia Msemaji wake wa jeshi (IDF) imetuma rasmi jeshi lake la Uwokozi msaada kwa Binadamu nchini Uturuki
Akiongea Msemaji huyo amesema kwamba
''Hawawezi kusahau historia yao na Uturuki na wapo tayari kutoa msaada wao wote kwa wananchi wa Uturuki''
Katika Comments za wananchi wengi wa Uturuki wameishukuru sana Israel kwa msaada wao wa kujitoa pamoja na kutoa silaha nyingi za uwokozi kwaajili ya waturuki.
Aidha wamesema sio suala la Siasa au Dini ila ni suala la Utu na Upendo. Zaidi wapo Waturuki wengi walioandika kuwa ISRAEL ni rafiki wao Mkubwa na sio nchi za kiarabu.
Unaweza kuona jinsi ambavyo Waislam wa Mbagala rangi tatu na Magomeni Mapipa wanavyoichukia Israel na kusema kuwa ni Adui wa Waislam.
Baadhi ya Comments za wananchi wa Uturuki ni hizi zifuatazo