Hii vita si ya kidini. Na haikuanza Oct 7 kama mnavyo haminishwa wewe endelea kusema waarabu hata wewe mtu weusi Kuna haki ya kuishi ngoja Hao wakubwa wapate sababu ya wewe kutokuwepo hapo ulipo utafurai na kizazi chako. Saa nyingi Acheni kushangilia vitu bila kujua kumbe ha wewe pia victimwaarab sio watu wa aman popote walipo angalia hata hapo Sudan vita ilikuwa ile ile kugombea enek , waarab wanajiona wao ty hawajali uwepo wa watu weusi ndan ya Sudan