Ni kweli kabisa Uturuki sasa hivi yuko Mashakani!!!!Naona ameanza kumtafuta Turkey.
Uturuk ni memba wa natoNaona ameanza kumtafuta Turkey.
Nato haiwezi ingia vita ikipiganwa Cyprus, pia mataifa yote ya nato yanaona uwepo wa majeshi ya Uturuki Cyprus ni uvamizi.Uturuk ni memba wa nato
ye asogeze tu ila baadaye msje anza free turkey wanauawa wanawake na watoto, myahudi siyo kichaa ukiona ivyo ujue shughuri wameshakamilisha anaviziwa huyo turkey ajae halafu uone show.Hii itakuwa ni sababu nzuri ya Uturuki kusogeza majeshi yake kwenye Cyprus iliyoko upande wa Turkey
Turkey anamzid Israel kijeshi na hapo USA vs TurkeyNatamani kuona mtanange kati ya turkey na mzayuni
kwan israel sku zote kazungukwa na marafiki? Raman ya pale mashariki ya kati unaijua vema kweli ww makobazi hao hao majiran zake walishajpanga kumfyeka kumtoa hapo na walichemka huyo turkey unaupmaje uwezo wake kijesh kumzd myahudi vita ya karne hii ni tech tu.Turkey anamzid Israel kijeshi na hapo USA vs Turkey
Israel anazid jichanganya hapa atazungukwa na maadui