Israel yamuua padri wa Kikatoliki Lebanon

Israel yamuua padri wa Kikatoliki Lebanon

Watanzania wengi ni wapumbavu Nyerere alikua Mkatoliki lakini alisimama na Palestina mwanzo mwisho na Mandela pia mimi mkatoliki lakini siungani na wahuni wa Israel wakina Netanyahu
Acha ujinga wako Nani amekuuliza Ukatoliki wako? Nani alikudanganya hapa tuna TANGAZO Ukatoliki? Ni hili nilishaeleza kwa kirefu sana!!

Soma Post # 11 kama wewe ni BUMUNDA huwezi kuelewa kwa nini Mwalimu Nyerere na nchi zingine walifanya maamzi hayo!!!
 
Hakuna kitu kama hicho Israel lazima iwashughulikie magaidi wa Hezbollah popote walipo kama kuwa Stopped basi Magaidi wa Hezbollah wawe wa kwanza!!

Hivi kwa nini mna kosa ujasiri wa kuwakemea magaidi? Au kwa sababu mnasali nao Misikitini?
Yaani unabisha hushabikii dini harafu matendo yako yanaonesha
 
Israel killed a beloved Priest in Lebanon in their vicious bombing campaign in Christian villages. Christians are gathered to mourn the death of Father Pierre El-Rahi.
America must stop funding, providing weapons, and aiding Israel’s attacks on innocent people and children.
20260312_050116.jpg
 
Former congresswoman Marjolie

Israel killed a beloved Priest in Lebanon in their vicious bombing campaign in Christian villages. Christians are gathered to mourn the death of Father Pierre El-Rahi.
America must stop funding, providing weapons, and aiding Israel’s attacks on innocent people and children.


20260312_050116.jpg
Screenshot_20260312-050245_X.jpg
 
Hii nayo ni habari? Waliouwawa maelfu wengine including ayatollah sio habari? Kwani mabomu yanachagua dini au jengo?
 
Back
Top Bottom