Israel yalazimika kukiri nguvu kubwa za kijeshi za Iran

Marekani haijapata kisingizio cha kutumia katika kuifumua Iran; mtafute Saddam kuwa Marekani walipopata kisingizio ni nini kilimtokea. Watu wenye mtazamo mfupi wamekuwa wanasema kuwa marekani imeshindwa vita na taliban lakini ukweli ni kuwa marekani iliamua kutoendelea kuikalia Afghanistani wakajiondokea. Wangetaka kuendelea kuwapo, bado Taliban wangekuwa wanaishi mapangoni huko milimani miaka yote.
Marekani kuivamia Iran unataka wapate kisingizio gani??
kwa mambo anayofanya Iran kwa Marekani
ingukuwa nchi nyingine kitaaaambo ingekuwa imeshaonja radha ya makombora ya Marekani
unapswa ufahamu kwa level aliyofikia Iran sio ya kwenda kichwa kichwaa utaumbukaaa
 
Marekani kuivamia Iran unataka wapate kisingizio gani??
kwa mambo anayofanya Iran kwa Marekani
ingukuwa nchi nyingine kitaaaambo ingekuwa imeshaonja radha ya makombora ya Marekani
unapswa ufahamu kwa level aliyofikia Iran sio ya kwenda kichwa kichwaa utaumbukaaa
Nitajie Silaha , Angalau 3 tu , ambazo Iran kazitengeneza - zilizo advanced hata Mmarekani asizeweze kuzitumia au kuzizuia.Silaha zote anazotumia mu-Iran zimetengenezwa kwa formular ya mtu wa Magharibi - So Marekani anajua mapungufu yapo wapi coz yeye ndo mwenye formular
 
Marekani kuivamia Iran unataka wapate kisingizio gani??
kwa mambo anayofanya Iran kwa Marekani
ingukuwa nchi nyingine kitaaaambo ingekuwa imeshaonja radha ya makombora ya Marekani
unapswa ufahamu kwa level aliyofikia Iran sio ya kwenda kichwa kichwaa utaumbukaaa
Iambie Irani watume magaidi washambulie kitu chochote cha Marekani uone majibu yake. Hizbollah siyo Irani hata kama wanapata missada kutoka Irani.
 
Iambie Irani watume magaidi washambulie kitu chochote cha Marekani uone majibu yake. Hizbollah siyo Irani hata kama wanapata missada kutoka Irani.
umesahau kambi za Marekani zilitandikwa kwa makombora mazito Iraq hapooo
umesahau Drone yao kizazi kipya ilitunguliwa
Iran kazuiwa asiuze mafuta
kibabe anayauza
mwamerika kabaki anatishia tuu
 
ingekuwa Iran ni mwepesi kama unavyofikilia weweee..
ingekuwa kitambo imeshavurugwaa, unataka Iran wafanye nini ndo ukubali uwezo wao??
wameziteka na kuzitungua drones kibao za US na mwishowe anaishia vitisho tuu bila kushambuliaa
kazitwanga kambi za US na mwishowe anaishia vitisho tuu
kateka meli ya uingereza na mwisho wameishia kuomba poo
kama alivyosema jamaa hapo juu
US atashinda ilaa cha Moto atakionaaa
 
Israel yalazimika kukiri nguvu kubwa za kijeshi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

Sep 13, 2021 02:27 UTC

[https://media]

Waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa droni yaani ndege zisizo na rubani za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zina uwezo mkubwa wa kufanya mashambulizi makini na angamizi.

Kwa mujibu wa mujibu wa tovuti ya habari ya "Arab24," waziri wa vita wa Israel, Benny Gantz alikiri jana (Jumapili) kwamba moja ya zana muhimu za kijeshi za Iran ni ndege zake zisizo na rubani ambazo ni kama makombora ya balestiki na ndege za kivita, zinaweza kuruka umbali wa maelfu ya kilomita na kufanya mashambulizi makini na angamizi.

Kabla ya hapo pia, Uzi Rubin aliyepewa lakabu ya baba wa makombora ya utawala wa Kizayuni wa Israel alikuwa naye amekiri nguvu na uwezo mkubwa wa kijeshi wa Iran akisisitiza kuwa, maenendeleo ya haraka iliyopita Iran katika miradi yake ya anga za mbali isiyo ya kijeshi na ya kijeshi, ni jambo linalotia wasiwasi mkubwa.

[https://media]Benny Gantz, waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel



Kamanda mwingine wa ngazi za juu wa jeshi la utawala wa Kizayuni naye pia amekiri kwamba, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo wa kufanya mashambulizi makali na hatari kwa Israel na kuisababishia Tel Avavi hasara kubwa.

Meja Jenerali Aharon Haliva ameendelea kusema, ishara zote zinaonesha kuwa, kutaka na kukataa, mwaka 2020 si mwaka wa mafanikio ya kiusalama kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

kuna watu wanachekesha humu ndani.
Eti Marekani hajapata sababu ya kuishambulia Iran.
Sababu zilipatikana nyingi sana tena kubwa kma kuiteka meli ya Uingereza ya mafuta,kuuza mafuta kibabe ilhali aliwekewa vikwazo,kuzidisha asilimia ya urutubishaj wa vinu vya nuclear,kushambulia kambi za US Iraq,kufadhili vikundi km Hizbollah na Houthi,kuzishusha drone ya Marekani.
Hizi sababu zingekua ni za nchi nyingine USA angeshavamia maana alijaribu akashindwa.
Kuhusu silaha toka 1979 Iran iliwekewa vikwazo vya silaha toka siku hiyo wakawa wana fabricate technology ya Russia na China wanaunda silaha zao.
Huyo anayesema Iran haiwezi kutengeneza silaha NAOMBA ANIJIBU KHORDAK BALLISTIC MISSILES SYSTEM IMETOKEA WAPI NA IMEUNDWA NA NANI?
MATLA UL-FAJR MISSILES ZA NANI?
NOOR MISSILES ZA NANI?
HIZI ZOTE HAZINA MFUMO HATA MMOJA WA KIMAREKANI.
Tena khordak ndio mfumo halis wa makombora wa Iran hata Russia hajachangia kuziunda.
Ingekua US anaweza akaipiga Iran km msemavyo angeshafanya ila anshindwa kwasababu mifumo ya ulinzi ya iran ni ya asili ya Iran 80% na asili ya Russia 20%.
Labda amtongoze Russia amuibie siri hapo atamuangusha kirahisi.
2011 kipindi cha Obama si kuna ndege nne za kivita zilishushwa Tehran bila kulipuliwa kipindi zimetumwa kushambulia?
Hapo bado hujajua Iran ana uwezo gani Iran?
Acheni kui underestimate Iran US sababu za kuipiga iran anayo ila anajua sio rahisi kupigana naye.
Israel yalazimika kukiri nguvu kubwa za kijeshi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

Sep 13, 2021 02:27 UTC

[https://media]

Waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa droni yaani ndege zisizo na rubani za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zina uwezo mkubwa wa kufanya mashambulizi makini na angamizi.

Kwa mujibu wa mujibu wa tovuti ya habari ya "Arab24," waziri wa vita wa Israel, Benny Gantz alikiri jana (Jumapili) kwamba moja ya zana muhimu za kijeshi za Iran ni ndege zake zisizo na rubani ambazo ni kama makombora ya balestiki na ndege za kivita, zinaweza kuruka umbali wa maelfu ya kilomita na kufanya mashambulizi makini na angamizi.

Kabla ya hapo pia, Uzi Rubin aliyepewa lakabu ya baba wa makombora ya utawala wa Kizayuni wa Israel alikuwa naye amekiri nguvu na uwezo mkubwa wa kijeshi wa Iran akisisitiza kuwa, maenendeleo ya haraka iliyopita Iran katika miradi yake ya anga za mbali isiyo ya kijeshi na ya kijeshi, ni jambo linalotia wasiwasi mkubwa.

[https://media]Benny Gantz, waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel



Kamanda mwingine wa ngazi za juu wa jeshi la utawala wa Kizayuni naye pia amekiri kwamba, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo wa kufanya mashambulizi makali na hatari kwa Israel na kuisababishia Tel Avavi hasara kubwa.

Meja Jenerali Aharon Haliva ameendelea kusema, ishara zote zinaonesha kuwa, kutaka na kukataa, mwaka 2020 si mwaka wa mafanikio ya kiusalama kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.

 
Iambie Irani watume magaidi washambulie kitu chochote cha Marekani uone majibu yake. Hizbollah siyo Irani hata kama wanapata missada kutoka Irani.
Ndugu hizbollah ni kikundi cha Iran pamoja na houthi ni Iran Proxy na washagusa sana maslahi ya USA na USA bado hajafanya kitu.
 
We , Iran ina Sayansi gani ya kumshinda Mmarekani na Muisrael . Unajua kuna kitu kinaitwa Artificial Intelligence
Unasema iran ina science gani?
Embu kasome mchango wa persians ktk uvumbuzi wa kisayansi.
Wahajemi wamechangia mchango mkubwa tu ktk uvumbuzi wa sayansi na hisabati.
Au labda utakua umekaririshwa wazungu ndio wavumbuzi wa kila kitu.
 
Unasema iran ina science gani?
Embu kasome mchango wa persians ktk uvumbuzi wa kisayansi.
Wahajemi wamechangia mchango mkubwa tu ktk uvumbuzi wa sayansi na hisabati.
Au labda utakua umekaririshwa wazungu ndio wavumbuzi wa kila kitu.
Nitajie Wanasayansi watano wenye Asili ya Iran na ugunduzi wao
 
Kuna ukweli lakini siyo tishio kwa Israel! Drone za Iran zinazotumiwa na Kikundi cha Wahouth Yemen kuipiga Saudia kiasi cha hata mfumo wa US wa kujihami (Patroit) kushindwa kuzuia kunaweza kuwa na ukweli ndani yake!
Hata hivyo kwa taarifa zisizo rasmi Israel na US wanapanga kushirikiana kutengeneza mfumo wa Arrow 4 utakaotumika kuzuia silaha za Hypersonic stealthy misiles!
Mkuu Iran ni tishio kubwa san kwa Israel.
ndiomaana ht Netanyahu alisema mpango wa Nuclear wa Iran unahatarisha usalama wa wazayuni.
Ww Iran ina uzoefu mkubwa kivita.
Pigia mahesabu mwaka 1980 mpk 1988 Iran ina jeshi dhaifu ambalo bado halikutengemaa ikapigana vita dhidi ya Iraq ambayo ilikua inasaidiwa na USA na France na mataifa ya kinafiki ya Kiarabu km Bahrain ila Iran ikasimama miaka nane ikipigana.
Israel hana uzoefu wa hivyo maana Hizbullah tu walimtoa kamasi yeye kazoea vita za ndege ila mbaya zaidi Iran anga lake haliingiliki lina mfumo mgumu wa ulinzi US analijua hilo.
Na akithubutu kaisha maana pale middle east nzma hakuna taifa lenye makombora hatari km Iran tena wanaunda wenywe..
kwa case ya USA kweli USA akiamua anaweza kuiangusha Iran ila atapata hsara ambayo haivumiliki pia ndio itakua mwisho wa utawala wake wa kidunia hususan kiuchumi maana China anampumulia kisogoni.
Ndio maana US kwasasa hataki kujihusisha na vita anajua itamgharimu pakubwa
 
Sio jambo la kawaida hata kidogo kwa Waisraeli kutamka hadharani "Mambo Mazuri" ya adui yake, hiyo inaitwa "Pyschological warfare".---- Iran anatakiwa ajiangalie na aendelee na mikakati yake ya kijeshi kujilinda.na hao Waisrael akifanya kosa la kubweteka baada ya kusifiwa kinafiki basi sio muda mrefu atakwishilia mbali kwani Waisreal ni watu wajanja, Wenye hila na AKILI NYINGI katika mambo yao.

Iran awe muangalifu sana na hizo sifa za kimkakati za Israeli.

"Jews cunning".
Yeah. Lakini, sidhani kama hiyo inatosha kumlaghai Muajemi. Waajemi wanachozidiwa na Wayahudi ni zana tu ambazo wao Wayahudi wanafadhiliwa na bwana yule. Siku bwana yule akisema inatosha kwa Wayahudi, kisha aondoe vikwazo kwa Muajemi na kumuacha ajifanyie mambo yake. Patachimbika hapo Ghuba. Kwakifupi, Iran si mtu wa kulaghaiwa kwa namna hiyo. Sifa hizo hazifai kwakwe kwa sasa, ni janja ya Myahudi kuonesha hatari ya Muajemi na hivyo apate kichapo au kundelea kumnyanyasa.
 
Mkuu Iran ni tishio kubwa san kwa Israel.
ndiomaana ht Netanyahu alisema mpango wa Nuclear wa Iran unahatarisha usalama wa wazayuni.
Ww Iran ina uzoefu mkubwa kivita.
Pigia mahesabu mwaka 1980 mpk 1988 Iran ina jeshi dhaifu ambalo bado halikutengemaa ikapigana vita dhidi ya Iraq ambayo ilikua inasaidiwa na USA na France na mataifa ya kinafiki ya Kiarabu km Bahrain ila Iran ikasimama miaka nane ikipigana.
Israel hana uzoefu wa hivyo maana Hizbullah tu walimtoa kamasi yeye kazoea vita za ndege ila mbaya zaidi Iran anga lake haliingiliki lina mfumo mgumu wa ulinzi US analijua hilo.
Na akithubutu kaisha maana pale middle east nzma hakuna taifa lenye makombora hatari km Iran tena wanaunda wenywe..
kwa case ya USA kweli USA akiamua anaweza kuiangusha Iran ila atapata hsara ambayo haivumiliki pia ndio itakua mwisho wa utawala wake wa kidunia hususan kiuchumi maana China anampumulia kisogoni.
Ndio maana US kwasasa hataki kujihusisha na vita anajua itamgharimu pakubwa
Kuna ukweli fulani hivi lakini ninaona unachanganya na hisia. Mosi, huwezi kuzungumza uwezo wa kivita kwa nchi za Ghuba bila ya kuihusisha USA, si Israel. Iran, Iraq, Saudia wala ... (malizia). Kwahiyo, kitakachoamua vita za Ghuba ni Mmarekani. Kesho akiamua kuitupilia mbali Israel, tutalia machozi kwa kitakachotokea pale kwa Wayahudi. Na akiamua kuzimisha Iran mazima pia hashindwi. Hii kumtight kidogokidogo ni mipango tu, maana si kila kuvamia kuna faida kama ulivyobainisha.

Pale Ghuba karibu nchi zote, zina mkono wa USA kwenye masuala ya vita na usalama. Aidha, nyingi ukifuatilia zilikuwa marafiki na jamaa kwa kipindi fulani,kisha kikanuka kulingana na maslahi ya mkubwa yapo wapi. USA anazijua nje ndani.
 
Huyo anayesema Iran haiwezi kutengeneza silaha NAOMBA ANIJIBU KHORDAK BALLISTIC MISSILES SYSTEM IMETOKEA WAPI NA IMEUNDWA NA NANI?
MATLA UL-FAJR MISSILES ZA NANI?
NOOR MISSILES ZA NANI?
Hata Tanzania tunaweza kutengeneza Vifaru vya kijeshi na Senser za mabomu kama tunauchumi mzuri , Ila Formular ya utengenezaji tutai-copy Marekani. Iran anatengeneza vifaa vya kijeshi lakini hakuna upya kwenye vifaa vyake ni yalele tu
Tofauti na vifaa anavyotengeneza Israel , vipo Advance, mpaka Mmarekani anavishangaa. Mfano mdogo ni hiyo bunduki hapo chini

 
Yeah. Lakini, sidhani kama hiyo inatosha kumlaghai Muajemi. Waajemi wanachozidiwa na Wayahudi ni zana tu ambazo wao Wayahudi wanafadhiliwa na bwana yule. Siku bwana yule akisema inatosha kwa Wayahudi, kisha aondoe vikwazo kwa Muajemi na kumuacha ajifanyie mambo yake. Patachimbika hapo Ghuba. Kwakifupi, Iran si mtu wa kulaghaiwa kwa namna hiyo. Sifa hizo hazifai kwakwe kwa sasa, ni janja ya Myahudi kuonesha hatari ya Muajemi na hivyo apate kichapo au kundelea kumnyanyasa.


Watu mnasahau kwamba US na Israel ni marafiki hasa katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na Sayansi na Technology, sehemu kubwa ya Technology ya US hususan katika uwanja wa vita kuna mkono wa Israel hivyo utaona hao ni marafiki walioshibana haswa na wanategemeana.

Jambo jingine ni kwamba karibu nchi zote za kiarabu pamoja na Iran kuna Waisraeli wanaoishi huko kama raia wa nchi hizo na mbaya zaidi wamejichanganya katika hizo jamii na hao ndio wanaotoa msaada mkubwa kwa Israel kuhusiana na intelijensia. Hivyo unapoizungumzia US katika nyanja za kiuchumi, kisiasa, Sayansi na tech, ni sawa na kuizungumzia Israel indirectly.
 

Wapo wengi sana. Hatuwajui kutokana na mfumo wa west kuzima tamaduni na taarifa za wengine(ubeberu). Niliwahi kubahatika kuwasoma hawa kwenye uga wa utabibu, Muhammad ibn Zakariya al-Razi (wa kitambo sana, si kizazi chetu) na Moslem Bahadori (huyu ninadhani bado yupo) wana mchango mkubwa sana hata kwa watu wa magharibi (nchi zile za Kilatini)kwenye uga wa utabibu (Medicine). Pia, Firouz Michael Naderiwa, huyu yeye ana asili ya Iran, ni wale waliokimbilia USA huko, ana mchango mkubwa pale NASA. Wa-Google utapata walichofanya kwa kina.​

Aidha, Wafursi kama yalivyo mataifa mengi ya Ghuba wapo vema sana kitaaluma, kihistoria. Kinachofanya hatujui mengi kuwahusu ni ukoloni wa magharibi, kama ilivyo huku kwetu na maeneo mengi ya ulimwengu. Hata kutoona wanachofanya, ni athari za magharibi. Hebu fikiria kama sasa, ka-Iran kamechoka kwa vikwazo na bado kanajitutumua,je, wangekuwa hawana shida za vikwazo kama sisi wangekuwa wapi?​

Pata taarifa za Iran hapa

 
Watu mnasahau kwamba US na Israel ni marafiki hasa katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na Sayansi na Technology, sehemu kubwa ya Technology ya US hususan katika uwanja wa vita kuna mkono wa Israel hivyo utaona hao ni marafiki walioshibana haswa na wanategemeana.

Jambo jingine ni kwamba karibu nchi zote za kiarabu pamoja na Iran kuna Waisraeli wanaoishi huko kama raia wa nchi hizo na mbaya zaidi wamejichanganya katika hizo jamii na hao ndio wanaotoa msaada mkubwa kwa Israel kuhusiana na intelijensia. Hivyo unapoizungumzia US katika nyanja za kiuchumi, kisiasa, Sayansi na tech, ni sawa na kuizungumzia Israel indirectly.
Yani unaona katika mahusiano ya US na Israel, ni Mmarekani ndiye anaepata msaada kiteknolojia toka Israel? Kama hiki ndicho unachomaanisha, itakuwa kituko kikubwa. Si kwamba Wayahudi wamechoka, hapana. Hawa jamaa kama walivyo mahasimu wao Wafursi (Wairan) wapo vizuri sana vichwani. Hata historia inaonesha hivyo. Lakini, kama unavyoona kwa Mfursi, US akikupa alama ya ushetani tu, umekwisha. Hii ndiyo inamla Iran kwa sasa. Kwa unafiki na undumilakuwili wa USA, siku maslahi yakihamia Iran, dunia hii itakuwa kama movie ya kina Van Damme.

Kuhusu kuwepo kwa Wayahudi kwenye sekta ya sayansi na teknolojia kule US, si kigezo kuwa Marekani = Israel. USA haina mwenyewe (ukiacha Wahindi wekundu ambao wanaelekea kumalizwa), yeye vichwa vyote ulimwenguni anavitumia. Hata Wairan wapo kule, tena kwenye sayansi hizo za fizikia na kemia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom