Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hawa jamaa si ndo walio muua mungu wa Wakiristu!?.....bila shaka wana laana hawa !
Au mungu yule alikuwa feki !?
Nani alikuambia Mungu ameuwawa? kasome maandiko wewe.
Hawa jamaa si ndo walio muua mungu wa Wakiristu!?.....bila shaka wana laana hawa !
Au mungu yule alikuwa feki !?
Acha kunisingizia kuwa mimi naendekeza ubishi mimi nilisema hivyo sababu nijuavyo wewe kila unaloandika mara nyingi hutoa LINK sasa hii umeandika tu bila kufafanua kuwa source imetoka wapi.
Are you happy for this rats who kills you god !?[/QUOT kingereza hukiwezi, afadhali uendelee kuandika kiswahili chako ulichokizoea, pitia tena sentensi yako then u'll identify u'r mistakes
Ukome kumpinga Allah hau!? AmekubInishia kwamba!; "waa makataluhu waa maswalabuhu waalakin shubialahum!" Muongo??? teh teh tehee!Hawa jamaa si ndo walio muua mungu wa Wakiristu!?.....bila shaka wana laana hawa !Au mungu yule alikuwa feki !?
Nani alikuambia Mungu ameuwawa? kasome maandiko wewe.
Ukome kumpinga Allah hau!? AmekubInishia kwamba!; "waa makataluhu waa maswalabuhu waalakin shubialahum!" Muongo??? teh teh tehee!
..........mshirikina balahau wewe !
Wewe Ally Kombo acha kusingizia watu uongo Allah wako alishakukataza kabisa tatizo lako wewe umekuwa Mwislam hata kiarabu hujui matokeo yake umebaki kukaririshwa vitu amvavyo wewe huvijui mwanzo mwisho.acha uongo allah hapendi
وَلَا تَقُولُوا لِمَا تَصِفُ أَلْسِنَتُكُمُ الْكَذِبَ هَٰذَا حَلَالٌ وَهَٰذَا حَرَامٌ لِّتَفْتَرُوا عَلَى اللَّهِ الْكَذِبَ ۚ إِنَّ الَّذِينَ يَفْتَرُونَ عَلَى اللَّهِ الْكَذِبَ لَا يُفْلِحُونَ
Hawa jamaa si ndo walio muua mungu wa Wakiristu!?.....bila shaka wana laana hawa !
Au mungu yule alikuwa feki !?
Mbona Mohamed husemi walivyomlisha Sumu kwenye Kondoo au Kitimoto vile
Mbona haishambulii na Iran basi! Kila siku analilia kwa US mpakaka sasa anapotezewa tu.kwa uwezo gani ilionao irani ku encounter israel?
..........mshirikina balahau wewe !
Magaid n marekani