johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,123
Wanajeshi wa Israel wamewarushia mabomu ya Machozi Waumini walipoenda kuabudu kwenye Msikiti mkuu wa Dunia Al Aqsa
Ulinzi umeimarishwa kuuzunguka Msikiti
Viongozi mbalimbali wa Dunia wanaelekea Israel kushawishi machafuko yasienee duniani kote
Al jazeera news
Yesu alipofika karibu na Yerusalemu aliuona Mji akaulilia akisema Laiti ungelijua yapasayo Laiti ungelijua Amani
Mwenye Masikio na asikie
Ulinzi umeimarishwa kuuzunguka Msikiti
Viongozi mbalimbali wa Dunia wanaelekea Israel kushawishi machafuko yasienee duniani kote
Al jazeera news
Yesu alipofika karibu na Yerusalemu aliuona Mji akaulilia akisema Laiti ungelijua yapasayo Laiti ungelijua Amani
Mwenye Masikio na asikie