Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 4,586
- 6,647
Mimi sipo na hizo dini zenu za kuletwa....Mimi dini yangu ni haki na ukweli tu.Udini unakutesa sana. Pole kwa maumivu.
Mimi sipo na hizo dini zenu za kuletwa....Mimi dini yangu ni haki na ukweli tu.Udini unakutesa sana. Pole kwa maumivu.
Iepiga hiyo nyumba, mlipuko sio mkubwa.Milipuko sio mikubwa.
Huna dini? Wewe ambae hata mtu akiikosoa serikali unasema ana chuki na uislam?Mimi sipo na hizo dini zenu za kuletwa....Mimi dini yangu ni haki na ukweli tu.
Sio kweli! Wewe juzi mtu kaleta taarifa kama hii ukasema analeta habari za kuokoteza ya kwamba Iran haina Tena uwezo wa kurusha hata kombora? Mkuu ilo shambulizi itakuwa AI
Inabidi ujue kuwa kuna watoto chini ya miaka 18 wanabeti na kunywa pombe ila hawaruhusiw kufanya hivyoIepiga hiyo nyumba, mlipuko sio mkubwa.
Watu wanakuambia hairuhusiwi kupiga picha hii sijui zimepigwa na nani
Sawa myahudi wa kwa mfipa, limepiga nyumba alijaua mtu? THAAD air Defense haipo kwani?Iepiga hiyo nyumba, mlipuko sio mkubwa.
Watu wanakuambia hairuhusiwi kupiga picha hii sijui zimepigwa na nani
Mkuu kusema ivyo si kwamba Mimi ni muislam,bali nawaweka sawa nyie watu wa dini msichukiane.... Serikali ya Samia haina udini na ipo fair sana. (Nje ya mada)Huna dini? Wewe ambae hata mtu akiikosoa serikali unasema ana chuki na uislam?
Dubai kuna watu wamekamatwavkwa kupiga picha na kupost. Mmoja ni raia wa UK ana umri wa miaka 60.Iepiga hiyo nyumba, mlipuko sio mkubwa.
Watu wanakuambia hairuhusiwi kupiga picha hii sijui zimepigwa na nani
Sawa. Ukiona nakukera bonyeza ignore tu hutaona ninachaondika.Mimi sipo na hizo dini zenu za kuletwa....Mimi dini yangu ni haki na ukweli tu.
Marekani si wanatwambia Iran kwishaaa kabisa upande wa Makombora.. mbona Israel Inaendelea kuchapika.💥💥💥💥
Iran imeshanbulia Israel and
Uongo ndio kitu ambacho umejaaliwaMkuu kusema ivyo si kwamba Mimi ni muislam,bali nawaweka sawa nyie watu wa dini msichukiane.... Serikali ya Samia haina udini na ipo fair sana. (Nje ya mada)
EditingUongo ndio kitu ambacho umejaaliwa
View attachment 3557628
Itakua Imani yako inaruhusu uongo. Kwa heri mkuuEditing
Acha story za vijiweni, Trump alimwambia nani hayo?. Kimsingi Iran inapigika sio kawaida.Kuna tetesi zilitoka kwa Trump, yeye mwenyewe alikiri kwamba: "mifumo ya utawala nchini Iran ni very complex". Yaani, alichotegemea Trump Ni tofauti na anachokishuhudia. Trump aliamini kuuà top leaders basi atakuwa amemaliza kila kitu, sasa imekuwa vice versa.
Inàmaana kwamba, wewe na Trump mnachokiamini kinafanana, na akili zenu zinafanana. Mnachokiamini kimewa-prvove wrong.
Hakuna jeshi? Mbona piga nikupige inaendelea. Makombora yànayorushwa na Iran ni mbuzi ndiyo wanarusha?