Matemba3814
Senior Member
- Nov 9, 2023
- 128
- 213
Hivi myahudi wetu wa Namtumbo MK254 amefanikiwa kuiona yote hii video? Maana yeye wa Namtumbo anajifanya anauchungu mno kuliko waisrael waliopo Israel kwenyewe.Israel Knesset wamemshambulia Netanyahu kwamba anajisfia kashinda vita wakati wa Israel wote wameona vipi Iran alivyo ipiga Israel kama nchi haina ulinzi. Israel wanasema tuliyo onyweshe kwenye media ni friction ya madhara makubwa ambayo Israel inayaficha.
Pia wanaulizana nani aliye toa amri ya kusimamisha vita, okay wanasema yote hayo tisa wametoka kwenye mashelter je Iran imevunjiwa Nuclear? Hapana mmepiga kweli mmerusha maboom mmeuwa macommander, scientists lakini Iran nuclear facilities bado zipo na nia zao bado zipo, pia Je Missiles zake zimevunjwa? Hapana sa Netanyahu anaongelea ushindi upi.
Kusimamisha vita kwa sasa ni hasara kwa Israel na ushindi mkubwa kwa Iran na marafiki zake kwenye dunia. Iran kwa sasa kisha amini wazi Israel hawezi kupigana vita nao, huyo Muisrael anasema siasa ya kusimamisha vita itatufanya tulipe thamani kubwa siku za mbele.
Nani aliye simamisha vita Israel au Israel imekuwa haina tena amri? Israel sio dhaifu lakini Netanyahu kaogopa kukosa support za nchi za Europe na USA mhhmm afu wanajikanyaga tena Wazira ya majeshi imepigwa, telecommunication imesambaratishwa, Airport imefungwa bila reason, tokea 1973 mara ya kwanza tunahisi Israel haina kiongozi. Aisay wamechangan'yikiwa kweli.
View: https://youtu.be/XMHTBLT5uhs?si=YZ8DMQETvl15C_1C
Wamuondoe Natanyahu madarakani kinguvu, ameabisha sana taifa la Israel na kulitia hasara - wamubane kwenye kesi inayo mkabiri ya kula rushwa yeye na mkewe, waazie hapo kukaza vyuma.Israel Knesset wamemshambulia Netanyahu kwamba anajisfia kashinda vita wakati wa Israel wote wameona vipi Iran alivyo ipiga Israel kama nchi haina ulinzi. Israel wanasema tuliyo onyweshe kwenye media ni friction ya madhara makubwa ambayo Israel inayaficha.
Pia wanaulizana nani aliye toa amri ya kusimamisha vita, okay wanasema yote hayo tisa wametoka kwenye mashelter je Iran imevunjiwa Nuclear? Hapana mmepiga kweli mmerusha maboom mmeuwa macommander, scientists lakini Iran nuclear facilities bado zipo na nia zao bado zipo, pia Je Missiles zake zimevunjwa? Hapana sa Netanyahu anaongelea ushindi upi.
Kusimamisha vita kwa sasa ni hasara kwa Israel na ushindi mkubwa kwa Iran na marafiki zake kwenye dunia. Iran kwa sasa kisha amini wazi Israel hawezi kupigana vita nao, huyo Muisrael anasema siasa ya kusimamisha vita itatufanya tulipe thamani kubwa siku za mbele.
Nani aliye simamisha vita Israel au Israel imekuwa haina tena amri? Israel sio dhaifu lakini Netanyahu kaogopa kukosa support za nchi za Europe na USA mhhmm afu wanajikanyaga tena Wazira ya majeshi imepigwa, telecommunication imesambaratishwa, Airport imefungwa bila reason, tokea 1973 mara ya kwanza tunahisi Israel haina kiongozi. Aisay wamechangan'yikiwa kweli.
View: https://youtu.be/XMHTBLT5uhs?si=YZ8DMQETvl15C_1C
Ndio manake anaingiza taifa lake hasara sababu hataki ahukumiwe.Wamuondoe Natanyahu madatakani kinguvu, ameabisha sana taifa la Israel na kulitia hasara - wamubane kwenye kesi inayo mkabiri ya kula rushwa yeye na mkewe, waazie hapo kukaza vyuma.
Kesha kimbilia Kaliobangi kujificha, hapa hana ubavu wa kujibu lolote lenye mshiko.Hivi myahudi wetu wa Namtumbo MK254 amefanikiwa kuiona yote hii video? Maana yeye wa Namtumbo anajifanya anauchungu mno kuliko waisrael waliopo Israel kwenyewe.
There you are - brilliant😁😁Ndio manake anaingiza taifa lake hasara sababu hataki ahukumiwe.
Sa kuna watu wameanza kufungua Restaurant wanazita jina la Missiles za Iran tazama hio Restaurant pale Beirut imetwa
Post from Erem News - إرم نيوز
🔹مغردون لبنانيون وإسرائيليون ينشرون صورة لمطعم في العاصمة #بيروت، يدعى "خيبر تشيكن"، احتفاءً بالصاروخ الباليستي الإيراني "خيبر شكن 2" الذي أطلق على #إسرائيل ...youtube.com
Teh teh teh tehee teehee,lkn sio kama hicho 👆👆😄🤣🤣Wakati huo hisa za kampuni inayotengeneza kiremba cha Hayatollah zimepanda.🤣
View attachment 3383339
Yaap lakini je wangeweza kuendelea na vita sababu Iran alikuwa anawapelekea moto si mchezo.Kama nimemuelewa vizuri huyo Yahudi ni kwamba HAJAFURAHISHWA na ceasefire, angependa Israel iendelee kupigana hadi malengo yao yatimie; kwamba maadamu mitambo ya nuclear ya Iran haijaguswa then they are not safe. In otherwords (kama nimemuelewa vizuri ) anamlaumu Netanyahu kwa kusitisha mapigano while malengo hayajatimia. Not sure kama nimemuelewa vizuri
Toka Wafuga Midevu na Majini wavamie JamiiForums hali si nzuri wanasema uongo kwa kila kitu na kupotosha habari zote kuhusu Israel na ukijaribu kuwaelimisha wako tayari kukupiga kwa mawe na matusi juu!!!JAMII FORUM IMEPWAYA KWELI, TOKA MYAHUDI KUPATA KIPIGO AMBACHO HAKIKUWAHI KUKIPATA NA WALA KUKITEGEMEA..
JAMANI WANAJF WALE WANAOWAFAGILIA MAYAHUDI, JEE WANAJUA KUWA MAYAHUDI NI MAYAHUDI SIO WAKEISTO? N A JEE WANAJUA KUWA MAYAHUDI WAPO MBALI SANA NA UKRISTO? NA JEE WANAJUA KUWA ASILIMIA YA WAKEISTO ISRAEL NI HATA ASILIMIA MBILI HAWAJAFIKA? MAANA YAKE WAKEISTO HAWATAKIWI UYAHUDINI.
MSIWE MNASHABIKIA TUU NA WALA HAMJUI MNACHOSHABIKIA.
NENDA YOUTUBE UKAANGALIE KIASI GANI WAKRISTU WANAVYOISHI ISRAEL, NDIO UTAUJUA UKWELI ULIVYOO/Toka Wafuga Midevu na Majini wavamie JamiiForums hali si nzuri wanasema uongo kwa kila kitu na kupotosha habari zote kuhusu Israel na ukijaribu kuwaelimisha wako tayari kukupiga kwa mawe na matusi juu!!!
Kinachokufanya ufanye umbea humu JF ni nini???? Chuki dhidi ya Wayahudi wewe umeanza lini??? Kwa kukusaidia tu hakuna chuki kwa Ukristo na Uyahudi!!!!
Acha ujinga youtube siku hizi ndiyo Mungu wako???NENDA YOUTUBE UKAANGALIE KIASI GANI WAKRISTU WANAVYOISHI ISRAEL, NDIO UTAUJUA UKWELI ULIVYOO/
Kmmk 😁 🙌Wakati huo hisa za kampuni inayotengeneza kiremba cha Hayatollah zimepanda.🤣
View attachment 3383339
Ni kweli viwanda vya watengenezaji wa vilemba vya Ayatollah wamepandisha hisa!!Kmmk 😁 🙌
😁😁😁😁😁Mimi nachoshangaa ni kubishia hata maneno ya Mdhamini wa pambano (Trump)anawaambia wenzie wa NATO kuwa yake makombor yalikuwa ni hatari sana kwa Israel wewe upo hapa Nyatwali tunabisha,huu ubishi wa Simba na Yanga ni janga la Taifa
😁😁😁😁😁Israel Knesset wamemshambulia Netanyahu kwamba anajisfia kashinda vita wakati wa Israel wote wameona vipi Iran alivyo ipiga Israel kama nchi haina ulinzi. Israel wanasema tuliyo onyweshe kwenye media ni friction ya madhara makubwa ambayo Israel inayaficha.
Pia wanaulizana nani aliye toa amri ya kusimamisha vita, okay wanasema yote hayo tisa wametoka kwenye mashelter je Iran imevunjiwa Nuclear? Hapana mmepiga kweli mmerusha maboom mmeuwa macommander, scientists lakini Iran nuclear facilities bado zipo na nia zao bado zipo, pia Je Missiles zake zimevunjwa? Hapana sa Netanyahu anaongelea ushindi upi.
Kusimamisha vita kwa sasa ni hasara kwa Israel na ushindi mkubwa kwa Iran na marafiki zake kwenye dunia. Iran kwa sasa kisha amini wazi Israel hawezi kupigana vita nao, huyo Muisrael anasema siasa ya kusimamisha vita itatufanya tulipe thamani kubwa siku za mbele.
Nani aliye simamisha vita Israel au Israel imekuwa haina tena amri? Israel sio dhaifu lakini Netanyahu kaogopa kukosa support za nchi za Europe na USA mhhmm afu wanajikanyaga tena Wazira ya majeshi imepigwa, telecommunication imesambaratishwa, Airport imefungwa bila reason, tokea 1973 mara ya kwanza tunahisi Israel haina kiongozi. Aisay wamechangan'yikiwa kweli.
View: https://youtu.be/XMHTBLT5uhs?si=YZ8DMQETvl15C_1C