Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
fear mongering & conspiracies
Na vipi kuhusu Tower 7? Halikupigwa na ndege wala popo ila lilianguka in the exact manner kama zile twin towers.
ebu funguka mkuu; leta habari zaidi, sijapata picha kamili.
Daah! pole sana ndugu lakini sidhani kama kuna comment yangu yoyote ambayo imeonesha maudhui ya mimi kumwaga povu kama unavyodai, itakuwa vizuri kama utai-quote maana nimepitia sijaona yaweza kuwa umeghafirika kidogo!Hukujua halafu povu lilikuwa linakumwagika! MiAfrika bana!!! Kha
Nina wasi wasi na suala hili, hapa uwenda kitafutwa kisingizio cha kuanzisha vita dhidi ya Iran. Na mkakati huu uwenda umeandaliwa na Netanyahu ili kulazimisha nembo ya White house-Obama kubadili msimamo wake wakuiunga mkono Israel ili iharibu vinu vya nyuklia vya Iran.
Si mnawajua Wayahudi walivyo mabingwa wa kupaka matope, hasa mkirejea suala ground zero-WTC-9/11 hapo Marekani lilivyotumiwa kufanya uhalifu kwa mataifa mengine ?
Msishangae kusikia intelijensia za watu wa Magharibi zikiibuka na habari ya "Agents wa Iran walihusika kumuua Balozi wa USA".
Foreigners involved in attack on US Consulate in Benghazi - Libyan president
"Foreigners" were involved in the planning and execution of an attack on the US Consulate in Benghazi that killed the ambassador and three other Americans, Libyan President Mohamed Magariaf told NBC News. "We have assumptions and we have some information, and all that information we have now leads to the same direction about the perpetrators, the criminals," he said. Magariaf did not indicate who the foreigners were or where they came from, but said he was sharing details with American officials. He added that Libyan authorities have suspects in custody.
Habari hii haina ukweli hata kidogo.A member of the US House of Representatives says there is numerous evidence proving that the Israeli regime had a major role in the 9/11 attacks. We dont have all the facts and figures of the direct involvement in the attack itself, but we do have lots of fingerprints of the Israelis all over this situation, covering it up and also not informing America of this disaster, David Duke said in an interview with us. Theres a huge amount of evidence that indicates that Israel, at the very least, knew what was going on way ahead of time, but did not warn the US, Duke added, describing it as a tremendous treachery against the US. He said that Israel had a long record of terrorism against the US, adding there are a lot of reasons as to why Israel had a major role in the incident. He said that five Israeli MOSSAD agents were arrested in New York while they were filming and documenting the attack not to mention that there is also a lot of evidence indicating that Israel had a huge spy operation going on in the United States at this time. Duke pointed out that Israel certainly gained tremendous benefits from the attack so it certainly had a role in the incident. Obviously, theyve benefited tremendously from the attack. It really cut off the huge growing criticism of Israel. There are more and more nations that were recognizing the Palestinian state. Everything got short circuited, he said. SOURCE: Israel fingerprints all over 9/11 attacks: US lamaker
Unajua mmiliki nani? Baada ya miaka watatoa taarifa tena (taarifa ambazo si siri tena!)Na vipi kuhusu Tower 7? Halikupigwa na ndege wala popo ila lilianguka in the exact manner kama zile twin towers.
Haya na tukubali habari hiyo, lakini je ubomokaji wa jengo ni kweli ni ndege peke yake zilisababisha majengo yale yabomoke kwa adabu za ubomoaji?Habari hii haina ukweli hata kidogo.
1) huyu Bwana Duke si mbunge wa Marekani. Ni mbaguzi rangi aliyekuwa kiongozi wa Ku Klux Klan (shirika katika Marekani inayohubiri chuki dhidi ya watu weusi na wayahudi; leo wako wachache lakini walikuwa muhimu sana huko!)
2) Kwa kipindi kifupi alikuwa mbunge wa jimbo la Lousiana (mnamo 1989/90, kwa njia ya by-election).
3) akiwa mbaguzi rangi anayechukia wayahudi si ajabu ya kwamba anatangaza takataka yoyote kuhusu nchi ya Israeli. Si ajabu ya kwamba shirika la Kiislamu inatangaza haya (ingawa inasikitisha!)
4) akiwa mbaguzi rangi anayedharau watu weusi ni kichekesho ya kwamba takataka zake zinasambazwa hapa JF!
Jamani kwa nini tunaletewa hapa takataka tupu??? Je mtu anayeleta hapa kopi-paste hawezi kuchungulia mwenyewe kma kuna ukweli wowote katika site anapoona habari?????
Kuhusu Bwana Duke soma: David Duke - Wikipedia, the free encyclopedia
Kama hujui Ku Klux Klan: Ku Klux Klan - Wikipedia, the free encyclopedia
Haya na tukubali habari hiyo, lakini je ubomokaji wa jengo ni kweli ni ndege peke yake zilisababisha majengo yale yabomoke kwa adabu za ubomoaji?
hebu ingia hapa kwanza: The 9/11 Collapse
..... Kama vyombo vyao vinaema kweli mbona juzi na jana walizima link za video toka Afghanistan zilizokuwa zikionesha kinachoendelea kwenye ile wanaita Green and blue?
Picha za video zilizokuwa uploaded toka Afghanistan kwenda youtube zote zilizuiliwa kuonesha tukio la kushambuliwa kwa base za USA na NATO.. kwa kifupi pokea taarifa kama walivyozitoa wao, kuwa askari wawili, fighterjets 5 zimeangamizwa na nyingine tatu kuharibiwa! Sasa kama wao wanatoa uhuru wa kujieleza na ndio mfano wetu vipi wanatuzuilia uhuru wa kupashwa habari?Mkuu kuuliza sio ujinga, naomba ufafanuzi hapo juu...
Ni kweli huwezi kupoteza muda wako kwa sababu unapokea kitu na kuamini kama ulivyoambiwa na unaempenda! haijalishi ni kitu kipi amekuambia.. Mara zote hapa nasema "TUFIKIRIE KWA KUTUMIA AKILI ZETU NA TUSIPENDE KUSIKILIZA MIOYO INATUAMBIA NINI!!" haya nni maneno machungu na ni kama matusi lakini ndio ukweli wenyewe kwani MARA NYINGI MIOYO HUTUPELEKA KUSIKO KWA SABABU YA MAPENZI YAKE NA KUIBAKA AKILI!Ndiyo, ubomokaji wa jengo ni kweli ni ndege peke yake zilisababisha majengo yale yabomoke kwa adabu za ubomoaji. Kabisa.
SIpenda kupoteza muda wangu na madai serikali ya Marekani ilibomoa nyumba hizi, wala na madai kuwa picha za kufika kwa Armstrong mwezini zilipigwa Hollywood, wala na hofu ya watu eti King Kong atarudi na kula mabinti mazuri.
Mpendwa, asante kwa kunijua kimakini mata moja ingawa tumeanza kujadiliana hapa mara ya kwanza maishani. Ajabu kweli jinsi umejua ni kivipi mimi napokea habari na kuzipenda!Ni kweli huwezi kupoteza muda wako kwa sababu unapokea kitu na kuamini kama ulivyoambiwa na unaempenda! haijalishi ni kitu kipi amekuambia..
Mara zote hapa nasema "TUFIKIRIE KWA KUTUMIA AKILI ZETU NA TUSIPENDE KUSIKILIZA MIOYO INATUAMBIA NINI!!"
Hapana, hii sikujua. Je wewe unajuaje??? Unaongea na malaika wasiofika kwangu? Yaani rais Kennedy aliaga dunia mwaka 1963. Kweli sikujua ya kwamba alihusika na habari za Apollo huko peponi miaka 9 baada ya kifo chake!1. Kuhusu la Armstrong na wenzake kutua mwezini, kwangu ni mashaka matupu kwa sababu wakati tukio hilo yalifanyika majaribio mengine mpaka mwaka 1972 na kushindwa, na hili lilimletea matatizo rais Kennedy au hili nalo hulijui?