Ismail Jussa yupo live katika makutano

Ismail Jussa yupo live katika makutano

Uswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,204
Reaction score
627
Ismail Jussa anahojiwa sasa katika makutano ya magic fm na Fina Mango

nitaweka updates hapa kwa wale walio mbali na redio

Updates
"kwa kuzungumza mfumo wa Serikali mbili badala ya mfumo Serikali tatu, ni ushahidi kwamba CCM hawajadili rasimu ya wananchi" @jussaCUF

"Madai yetu ya msingi ni mawili tu, 1. yapi ni mamlaka ya bunge la katiba na 2. rasmi ya wananchi ndio ijadiliwe" @jussaCUF

"Madai yetu ya msingi ni mawili tu, 1. yapi ni mamlaka ya bunge la katiba na 2. rasmi ya wananchi ndio ijadiliwe" @jussaCUF

"UKAWA haitaishia katika suala la katiba, tumeunda timu ndogo kwa ajili ya kuangalia maeneo tutakayoendelea kushirikiana" [URL="https://twitter.com/jussaCUF"]@jussaCUF

[/URL]
 
Jussa ni mwiba mkali sana, anajuwa sana hayo mambo 2 kweli ndio shida yetu.
 
Back
Top Bottom