Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Hizi hapa chini ni tweet mbili moja katika lugha ya kiswahili na nyingine katika lugha ya kingereza alizoziandika Ismail Jussa katika mtandao wa twitter:
"Chama Mbadala kimoja KIKUBWA kukusanya pamoja vipaji vyote kutoka vyama vyote makini na makundi ya kijamii na kisha kufuatiwa na....."
"One super alternative PARTY bringing together all the cream from all serious parties and from civil society organisations and then follows...."
Tweet hizo mbili katika akaunti yake hiyo ya twitter kaziambatanisha na picha ya pamoja ya viongozi wa umoja wa UKAWA,picha ya pamoja ya Lowassa, Mbowe na Maalim Seif, picha ya pamoja ya Maalim Seif na Zitto na picha nyingine ya pamoja ya Lissu na kiongozi mmoja wa CUF.
My take:
Hii ni hatua nzuri sana na ya kupongeza kwa upinzani katika kukabiliana na CCM ila wajiandae na hujuma za hawa jamaa kwa kutumia dola na ushawishi wa "fwedha" kuwavuruga katika jitihada zao za kuunda hicho chama kimoja kikubwa.
Pia, hatua hii ya upinzani ni ujumbe tosha kuwa Magu anawafanya wapinzani wawe wamoja zaidi (anaimarisha upinzani) na kuwafanya wawe wabunifu zaidi katika kukabiliana na mabavu ya CCM.
Tutafikaa tu.
"Chama Mbadala kimoja KIKUBWA kukusanya pamoja vipaji vyote kutoka vyama vyote makini na makundi ya kijamii na kisha kufuatiwa na....."
"One super alternative PARTY bringing together all the cream from all serious parties and from civil society organisations and then follows...."
Tweet hizo mbili katika akaunti yake hiyo ya twitter kaziambatanisha na picha ya pamoja ya viongozi wa umoja wa UKAWA,picha ya pamoja ya Lowassa, Mbowe na Maalim Seif, picha ya pamoja ya Maalim Seif na Zitto na picha nyingine ya pamoja ya Lissu na kiongozi mmoja wa CUF.
My take:
Hii ni hatua nzuri sana na ya kupongeza kwa upinzani katika kukabiliana na CCM ila wajiandae na hujuma za hawa jamaa kwa kutumia dola na ushawishi wa "fwedha" kuwavuruga katika jitihada zao za kuunda hicho chama kimoja kikubwa.
Pia, hatua hii ya upinzani ni ujumbe tosha kuwa Magu anawafanya wapinzani wawe wamoja zaidi (anaimarisha upinzani) na kuwafanya wawe wabunifu zaidi katika kukabiliana na mabavu ya CCM.
Tutafikaa tu.