Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Nilishaihama NBC. Siwezi kuhifadhi pesa zangu pamoja na fedha za majini
Utaumiza kichwa chako kwa mawazo,dini hii ina nyanja nyingi,utakimbia ngapi?Hata majina ya miji kadhaa ya Tanzania pamoja na jina la Tanzania,asili yake ni uislam,Dar es salaa,pia ni jina la kiislam,na mpaka lugha ya kiswahili ina maneno asilimia zaidi ya 25 ni ya kiislamu,nayo pia utayaiacha?Ukiongea au kuandika kiswahili,unatumia maneno ya kiislam,mpaka mitaa mingi ni ya majina ya kiislam,magari unayopanda yanatumia mafuta yanayotoka nchi za waislam.Anza kuacha kila kinachohusiana na uislamu,ndio tutajuwa kweli umeacha.Acha akili ya shule za kata.Nilishaihama NBC. Siwezi kuhifadhi pesa zangu pamoja na fedha za majini
Shk.ustadhi Ally,
Nashukuru kunijuza na vizuri kuelimishana Lakini Amri ya Mungu ni BLACK & WHITE haina kupindapinda.... RIBA ina harufu zake na misimamo yake... Na mungu ni Msafi (PURE) hapokei ila SAFI.
Hiyo fedha za riba ndiyo ufuturishe walofunga? hapo kuna masuali na tafakari zahitajika. " tafdhali siyo uhasama ni LEARNIG only.
mfungo mwema na ukubaliwe kwa wote.amin
Nilishaihama NBC. Siwezi kuhifadhi pesa zangu pamoja na fedha za majini
To reduce the gap between the rich and the poor ,Islam encouarages trade ,dicourages the hoarding of wealth and outlaws Riba,therefore wealth is taxed Zakat but trade is not taxed .Islamic banks face unique accounting problems both from a technical point of view and philosophical point of view.
Allah is the author of all confusion.
Utaumiza kichwa chako kwa mawazo,dini hii ina nyanja nyingi,utakimbia ngapi?Hata majina ya miji kadhaa ya Tanzania pamoja na jina la Tanzania,asili yake ni uislam,Dar es salaa,pia ni jina la kiislam,na mpaka lugha ya kiswahili ina maneno asilimia zaidi ya 25 ni ya kiislamu,nayo pia utayaiacha?Ukiongea au kuandika kiswahili,unatumia maneno ya kiislam,mpaka mitaa mingi ni ya majina ya kiislam,magari unayopanda yanatumia mafuta yanayotoka nchi za waislam.Anza kuacha kila kinachohusiana na uislamu,ndio tutajuwa kweli umeacha.Acha akili ya shule za kata.
Sasa wandugu, hiyo futari imegharamiwa na NBC, ningependa kujua uhalali wa kulishwa futari kwa fedha za "RIBA"....
mmh hapo siyo kukurupuka tu, kuna masuali 1000 moja (kwa waliyosoma wawaelimishe wenzao).
Uislamu ukiuchukia utapata Tabu,kwasababu kila siku unakwenda na wakati.Utaumiza kichwa chako bure.Hii dini haikuanza juzi,jana wala leo,wapo walioipiga vita na kuichukia,lakini wakajikuta wanapoteza wakati wao bure.Kila sekunde na dakika,ukweli wake unajitokeza wenyewe.
To reduce the gap between the rich and the poor ,Islam encouarages trade ,dicourages the hoarding of wealth and outlaws Riba,therefore wealth is taxed Zakat but trade is not taxed .
Profit sharing and venture capital where the lender is also exposed to risk are acceptable
To reduce the gap between the rich and the poor ,Islam encouarages trade ,dicourages the hoarding of wealth and outlaws Riba,therefore wealth is taxed Zakat but trade is not taxed .
Profit sharing and venture capital where the lender is also exposed to risk are acceptable
Ukweli wake ndio nini hasa?Uislamu ukiuchukia utapata Tabu,kwasababu kila siku unakwenda na wakati.Utaumiza kichwa chako bure.Hii dini haikuanza juzi,jana wala leo,wapo walioipiga vita na kuichukia,lakini wakajikuta wanapoteza wakati wao bure.Kila sekunde na dakika,ukweli wake unajitokeza wenyewe.
Islamic banks face unique accounting problems both from a technical point of view and philosophical point of view.
Allah is the author of all confusion.
Ukweli wake ndio nini hasa?
Katika Ukristu tunasema hivi: Proverbs 27:5 states "Open rebuke is better than secret love"
It means if you care about someone, than you will care enough to stop them from driving off the road into sin to the destruction of his own soul. If you stand by with your heart full of love and do nothing, it is not really love.
It is also in alignment with Proverbs 28:23 He who rebukes a man will in the end gain more favor than he who has a flattering tongue..
usizidi kuimiza kichwa,hii dini iko kwenye nyanja nyingi za kimaisha,lugha ya kiswahili asili yake ni waarabu waislam,na waafrika maeneo wa Pwani ya Afrika mashariki ambao ni waislam.Hata jina la hiyo lugha ni neno la kiislam.uislam lugha?
Usitoke nje ya mada,anzisha uzi unaohusina na Bia,uone majibu yake.Mada ya hapa ni Riba,sio bia.hiki ni kichekesho unakataa kunywa bia unapokea mshahara unaotokana na kodi ya bia, hii dini ni noma
Huko kuwaza hakuna jipya,ni mapya yenyewe,acha kuumiza kichwa,hii dini ni ya kisomi,ndio mana Banki hizi ziko mpalka nchi za magharibi,na zinakubalika,ww peke yako ukipinga utapata Tabu,ziko Uingereza,Maarekani, Ufaransa nkulianza lin?amna jipya apo
kutoelewa kwa watu fulani,jambo fulani si sababu ya jambo hilo lisiwepo,wanafunzi wengi hawaelewi hisabati na masomo Ya science,ndio tuseme science na hisabati hazieleweki?Au ni ufahamu mdogo wa wanafunzi,acha kuumiza kichwa,mda si mrefu benki nyingi duniani zimeanza kufuata mfumo wa islamic banking na ziko zitakanzo anza mda si mrefu.
Most of the Islamic Banks operate on Bai- Murabaha, Bai Muazzal, Bai- Salam, Istisna, Hire Purchase/ Leasing mode of Investment i.e. Islamic Banks always prefer to run on markup/ guaranteed profit basis having Shariah coverage. For this reason some times the conventional Economists and General people failed to understand the real difference between Islamic Banking and conventional Banking.
Usiumize kichwa,mambo mengi ya kiislam unayatumia kila siku,ukiangalia hisabati,kemia,physics,nk,mna maneno mengi yenye asli na wana sayansi wengi wa kiislamu wametoa mchango mkubwa mpaka kwenye elimu ya Tiba.Usome uislamu uulewe.Acha kuumiza kichwa.Ukweli wake ndio nini hasa?
Katika Ukristu tunasema hivi: Proverbs 27:5 states "Open rebuke is better than secret love"
It means if you care about someone, than you will care enough to stop them from driving off the road into sin to the destruction of his own soul. If you stand by with your heart full of love and do nothing, it is not really love.
It is also in alignment with Proverbs 28:23 He who rebukes a man will in the end gain more favor than he who has a flattering tongue..
Upagani upo pia kwa wazungu na waarabu,kwa hiyo hujakwepa kitu.me mpagan maisha yangu yako safi bila kufuata haya mafundisho ya kizungu na kiarabu