shortlisted1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2014
- 352
- 128
Wanamgambo wa ISLAMIC STATE wametoa video inayoonyesha muingereza Allan Hanning akikatwa kichwa. Na bwana huyo alipopewa mda wa kuzungumza kabla ya kunyofolewa kichwa chake alionekana kulilaume Bunge la Uingereza kwa kuamua kushirikiana na Marekani kuwapiga mabomu ISLAMIC STATE. Na kama ilivyokawaida baada ya kuchunjwa kwa bwana Hanning mwishoni ilionyeshwa video ya mateka mwingine ambaye ni Mmarekani bwana Peter Kasas ambaye na yeye kichwa chake kitanyofolewa kama Amerika wataendelea kuwalipua raia ndani ya ISLAMIC STATE.
Kwengineko Wanamgambo machachari wa Boko Haram wametoa video inayoonyeshwa wakichinja mtu ambaye inasemaekana ni PILOT wa jeshi la Nigeria ambayo ndege yao ilipotea takribani wik tatu zilizopita pia ndani ya video hiyo Jemedari la kivita Aboubakar Shekau alionekana akiwa na afya njema kabisa licha ya jeshi ka Nigeria kudai kwamba walimuua. Updates zitaendelea kupatikana.
Kwengineko Wanamgambo machachari wa Boko Haram wametoa video inayoonyeshwa wakichinja mtu ambaye inasemaekana ni PILOT wa jeshi la Nigeria ambayo ndege yao ilipotea takribani wik tatu zilizopita pia ndani ya video hiyo Jemedari la kivita Aboubakar Shekau alionekana akiwa na afya njema kabisa licha ya jeshi ka Nigeria kudai kwamba walimuua. Updates zitaendelea kupatikana.