ndio maana wanavamia westigeti na kuua wasio na hatia kwa jina mtume.Ndio maana wanalambana risasi na tindikali.
Wala msiikaribie zinaa.
Mpango wa Mungu kwa wanadamu ni upi basi? Manake kama unakiri Shetani yupo basi ulishakiri Mungu yupo.Dini ni mpango wa shetani kutawala wanadamu
Mmh tukimbilie wapi?dini hizi hivi sasa ni kama biashara
Mwingira noooma!!!
Mpango wa Mungu kwa wanadamu ni upi basi? Manake kama unakiri Shetani yupo basi ulishakiri Mungu yupo.
Kampuni moja majina tofauti tu! Rozari=Tasbihi
Uvumba=Udi
Magauni meupe=kanzu
Kofia ya papa= baragashia
Changanya na zako!