Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,880
Haya mambo sijui kuishi vizuri na watu sijui connection ni muhimu sana, ila usizingatie sana msaada kutoka kwa watu, ishi kwa kujipanga ili ikitokea umepata tatizo ujiokoe.
Binadamu sio watu wa kuwategemea
Tafuta Hela Kaa na emergency fund
Hakuna mtu aliewai kujisaliti, ila anasalitiwa.
Mambo sijui ishi na watu vizuri ni sawa ila usitegemee msaaada kutoka kwaooo
Binadamu sio watu wa kuwategemea
Tafuta Hela Kaa na emergency fund
Hakuna mtu aliewai kujisaliti, ila anasalitiwa.
Mambo sijui ishi na watu vizuri ni sawa ila usitegemee msaaada kutoka kwaooo
