kwamwewe
JF-Expert Member
- Jul 15, 2010
- 1,801
- 541
Msikilize mwanasheria bingwa na aliyebobea ambaye alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mheshimiwa Othman Masoud Othman, akielezea uvunjwaji wa Katiba uliofanywa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Jecha Salim Jecha, kwamba uchaguzi wa Zanzibar wa tarehe 25 Oktoba, 2015 bado ni HALALI na pia kufafanua kwamba tamko BATILI la Jecha kuchapishwa kwenye Gazeti Rasmi la Serikali hakulipi uhalali wala kupunguza UBATILI wa tamko hilo.
Last edited by a moderator: