Katika katiza katiza yangu kwenye site mbalimbali nimekuta na hii link ya hawa wanadai wanatoa mikopo kirahisi rahisi
hebu pitieni tujulishane maana naona watu wapo busy kutuma application fees ili kupata mkopo fasta
Hawana web? Sounds like a scam aisee. Umenikumbusha yale mabilioni ya jk, sijui yalipitia wapi. Anything with application fee huwa siifyagilii kwa sana.
Mkuu nimeshangaa mtangazaji mmoja wa Clauds Fm ametupia kwenye page yake watu wapo busy kuhamasishana kuchangamkia deal
Na ki wap site chao wameweka mapicha ya JK na Obama na nembo ya taifa kuzuga watu
Mkuu nimeshangaa mtangazaji mmoja wa Clauds Fm ametupia kwenye page yake watu wapo busy kuhamasishana kuchangamkia deal
Na ki wap site chao wameweka mapicha ya JK na Obama na nembo ya taifa kuzuga watu