TRA ipo kwa ajili ya makusanyo ya Mafisadi haipo kujenga nchi, ukiwa Mzawa unafanya kabiashara TRA watakufuata mpaka ufilisike ndio roho zitawatiuliwa. TRA inatumiakia mabwana zao wakina Lowassa, RA, Kikwete, Chenge na Mafisadi Mipapa kama Mkapa, Nimrod na wengineo. Kaiz kukusanya pesa na kununua Ma-Vx kwa ajili ya Mafisadi wanaolala Dodoma kwenye ukumbi wa kuzomeana na kupeana mipasho huku watanzania wakiletewa pikipiki za kubebea wake zao wenye mimba