IS SEX OVERRATED?

IS SEX OVERRATED?

We are being brainwashed. Kwann kwenye media wanawake ndo wanaovaa nusu uchi, miziki na movie 95% zinahusu mapenzi.
We are staged bro, we are doomed into lust.
 
Kuna muda huwa nahisi baadhi ya maamuzi juu ya kutamani kusex na mtu wa aina Fulani ni kama ubongo huwa unajitoa kabisa
Alafu kugundu mkuu ukishafanya akiki inajirudi unaanza kuusemea moyo

Hatariiii
 
Love making is the sweetest thing mkuu, acha kabisa. Watu wa ngono zembe, ngono za kimasihara, ngono za kuhongana mijumba na magari, ngono za give n' take lazima waone sex ni mzigo.

Again, love making is very sweet.
 
Kipengele sana
1751996150276.jpg
 
Love making is the sweetest thing mkuu, acha kabisa. Watu wa ngono zembe, ngono za kimasihara, ngono za kuhongana mijumba na magari, ngono za give n' take lazima waone sex ni mzigo.

Again, love making is very sweet.
For real mkuu.

Casual sex is a burden.
 
Sex ipo overrated sana....
Ukifikiria kwa makini utagundua kuwa; Sex ndio starehe pekee kwa watu wasio na kipato cha kueleweka, au wale walio pata hela ambazo hawajazitolea jasho/hela za madeal; sasa kwa ulimwengu wa tatu ambapo ndio staili yao ya maisha na pia maskini ni wengi sana, ndio sababu hata mada za sex zinapata wachangiaji walio wengi kwa kuwa wengi wapo katika makundi hayo...
 
Mwanaume yoyote anayesema sex is overrated anafaa kuchinjiliwa mbali....huyo sio kidume kabisa. He might as well start batting for the other team
Usiseme as if unachat na watu ambao huwa hawafanyi sex,baada ya kumwaga what else?
Huku nchi zetu sex inapewa kipaumbele kwasababu ya vipato vyetu.Wengi huku hatujui raha ya kutembelea mbuga za wanyama,kupanda milima na vitu vingine vingi,wwngine hata TV ndani hawana,kwahiyo kama ana mke ni mwendo wa kusex tu,kwanini asisifie sex?
 
Sex ipo overrated sana....
Ukifikiria kwa makini utagundua kuwa; Sex ndio starehe pekee kwa watu wasio na kipato cha kueleweka, au wale walio pata hela ambazo hawajazitolea jasho/hela za madeal; sasa kwa ulimwengu wa tatu ambapo ndio staili yao ya maisha na pia maskini ni wengi sana, ndio sababu hata mada za sex zinapata wachangiaji wengi sana kwa kuwa wengi wapo katika kundi hilo...
Hakika mkuu

Too deep
 
Usiseme as if unachat na watu ambao huwa hawafanyi sex,baada ya kumwaga what else?
Huku nchi zetu sex inapewa kipaumbele kwasababu ya vipato vyetu.Wengi huku hatujui raha ya kutembelea mbuga za wanyama,kupanda milima na vitu vingine vingi,wwngine hata TV ndani hawana,kwahiyo kama ana mke ni mwendo wa kusex tu,kwanini asisifie sex?
Mwmabie huyo pimbi ila kibaya zaidi hatakueelewa kabisa
 
Nimejirekebisha mkuu. Nimeshajiona mjinga mara nyingi sasa niseme imetoshaa Sex ni upumbavu sana
Sex imeharibu maisha ya watu wengi, ndoa zao , heshima na hadi kazi zao,

Watu wamechelewa kujenga kisa uchi

Watu wamechelewa kuimalisha mtaji kisa malaya

Sex ni kitu kitamu kwa muda huo ila kinakuachia hatarri
 
Sex ipo overrated sana....
Ukifikiria kwa makini utagundua kuwa; Sex ndio starehe pekee kwa watu wasio na kipato cha kueleweka, au wale walio pata hela ambazo hawajazitolea jasho/hela za madeal; sasa kwa ulimwengu wa tatu ambapo ndio staili yao ya maisha na pia maskini ni wengi sana, ndio sababu hata mada za sex zinapata wachangiaji walio wengi kwa kuwa wengi wapo katika makundi hayo...
Unaongea kinyume wewe.Hivi husikii kuhusu mafile ya Epstein - unafikiri kule kuna maskini??Wale wakina Pdidy na the like ni maskini wale??Waarabu wanaozalilisha wadada chungu nzima unafikiri ni maskini??
Wale wadada wa masaki kule na the like, kila kabila wanahonga maskini?Sex ni kwa wote ndugu, tena mwanaume akishika pesa akakosa discpline ndo hatari, wanawake kidogo ni kinyume.
Again mtu ukiwa na ulaibu wa sex utafanya tu...kuna kila aina ya soko, kuanzia 5000 n.k
 
Back
Top Bottom