Ntwa A. Katule
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 239
- 226
And that problem is even reflected in the level of discussion we are having here. Arguments zimejaa personal attacks. Utajua hata critical thinking hatuna. Yaani mtu hawezi kujenga hoja bila kumuattack mtu. Ni kweli aliosema Mufuruki yaudhi , lakini yana ukweli kwa hiyo yapaswa tujitafakari na kujitathminiMufuruki yuko sahihi. Tusilazimishe mambo. tutumie fursa kufanya kazi na wengine toka nje ili tupate ujuzi zaidi. Ni kweli vyuo vyetu vimejikita zaidi katika vyeti na kufaulu mitihani. hakuna training ya managers ya kiwango cha juu.
And that problem is even reflected in the level of discussion we are having here. Arguments zimejaa personal attacks. Utajua hata critical thinking hatuna. Yaani mtu hawezi kujenga hoja bila kumuattack mtu. Ni kweli aliosema Mufuruki yaudhi , lakini yana ukweli kwa hiyo yapaswa tujitafakari na kujitathmini
Mimi sioni tatizo mkenya kufanya kazi Tanzania, kama amefaulu vigezo vyote. ambalo serikali yetu ingeweza kufanya ni kuwa na programu ya kuwezesha watanzania waliosoma ndani na hata nje, kushika madaraka kwa wingi zaidi katika makampuni ya ndani na hata nje, on a competitive basis. tukianza kuwazoeza kuwapendelea, wala hawatakuwa good managers. tofautisha kulinda soko la ndani la bidhaa, na "kulinda soko la ndani la managers"Watu mmejikatia nia namna hii,Kuna watu wenye uwezo mkubwa sana, Kivip unasema hakuna managers wanaoweza kusimamia biashara Tanzania, How many Tanzania have foreign business education na wamesoma chuo kimoja na huyo dada? Huu ni upungufu wa Kufikiri kwa mtu mkubwa kama huyo, pia hana ujuzi wa kutafuta mkurugenzi mzuri, tena anaweza kusema madini ya shaba ya tanzania hayapo sawa na madini ya shaba ya nchi zingine
sasa ulitaka atetee ujinga? serikali hii haipendi wafanyabiashara, inawachukia kweli kweli wala siyo siriHuyu jamaa nikwambie tu kiukweli ni muhaya mwenye pesa halafu anadharau sana ,namfahamu kindakindaki,niliwahi hudhuria msiba wa baba yake.
Kingine kuna ziara moja rais Magufuli allifanya Uganda ,nakumbuka wakikutana marais wa afrika mashariki,jamaa alipewa nafasi ya kuongea kuhusu biashara,aliponda bongo kiana, Baadae Magufuli alimwambia Mufuruki kuhusu vikwazo unavyokutana navyo njoo uniambie kipi kikwazo tujue namna ya kufanya mimi niko tayari,lakini alikua anainanga nchi .
Huyu kama ulvyosema ukoloni umemjaa
Issue ni kuwa si kweli kuwa hakuna mtanzania mwenye uwezo kama au zaidi ya huyo mdada, kwahio isiwe sababu ya kuwatukana watanzania na kuwahadaa kuwa hakuna mwenye uwezoMimi sioni tatizo mkenya kufanya kazi Tanzania, kama amefaulu vigezo vyote. ambalo serikali yetu ingeweza kufanya ni kuwa na programu ya kuwezesha watanzania waliosoma ndani na hata nje, kushika madaraka kwa wingi zaidi katika makampuni ya ndani na hata nje, on a competitive basis. tukianza kuwazoeza kuwapendelea, wala hawatakuwa good managers. tofautisha kulinda soko la ndani la bidhaa, na "kulinda soko la ndani la managers"
Ni kweli mkuu,mfanyabiashara mkwepa kodi,mleta bidhaa fake nchini,hapendwi na serikali hii,tena wanachukiwa kweli,sasa ulitaka atetee ujinga? serikali hii haipendi wafanyabiashara, inawachukia kweli kweli wala siyo siri
Kwani waliopata utajiri kwa biashara ya utumwa hawakuwa wezi? Roho ya kukosa ni mbaya sana! Hata benki angalia wafanyakazi wanavyokuangalia ukiwa mswahili mwenye mafanikio katika biashara. Wanakuangalia kama mwizi na hasa ukiongea nao kiswahili. Ukitaka ufanikiwe kama mambo ya mkopo na kadhalika wewe wapigie ung'en'ge tu. Loan application yako inapita tu. Ukisema nao kiswahili wanataka kugrab hiyo biashara yako wafanye wao. Hawajui kuna mambo mengi kwenye biashara ni si wazo peke yake!Roho ya kukosa.Tatizo la Wabongo kuwa na chuki dhidi ya walio nacho kuwazidi.Angekuwa mzungu au mwarabu husikii kashfa akiwa tajiri zaidi ya kumpamba kwa misifa kedekede.Acheni Roho korosho
Mfiaukweli,Usichoonekana kujua/kukumbuka ni kuwa (a) hakuna aliezaliwa akiwa MD. Ni kweli hajawahi kuwa MD kabla lakini hiyo haina maana hawezi kuwa MD na akafanya vizuri tu
(b) Vodacom ni subsidiary company. Imesajiliwa locally yes, but it is a foreign owned company. Wenye kampuni wanaona hakuna Mtanzania mwenye potential ya kufanya wanachotaka kwa nafasi ya MD, what's your beef?
Mimi ndiyo maana namkumbuka sana Rais Mkapa pamoja na mapungufu ambayo yaliyojitokeza wakati wa utawala wake. Ni yeye aliyefanya kazi kubwa ya kuanzisha zoezi la kuvutia wawekezaji wakubwa na wadogo na hasa wa kigeni wakati huo kila kona ya nchi yetu inanuka ujamaa "uliotelekezwa". Kama ni kumuenzi katika hilo tumuenzi akiwa bado yuko hai.
Naam, umesema kweli. Kwa serikali hii, WAFANYABIASHARA WOTE NI WAKWEPA KODI, WALETA BIDHAA FEKI, WEZI. Hiyo ndiyo imani kubwa kabisa ndani ya serikali ya JPM. kwa hiyo hata anapokutana na wafanyabiashara, anafanya hivyo basi tu, lakini matendo yake yote yanaegemea FALSAFA hiyoNi kweli mkuu,mfanyabiashara mkwepa kodi,mleta bidhaa fake nchini,hapendwi na serikali hii,tena wanachukiwa kweli,
ahhahaaaa wanetutia hasara kwenye DART wanataka na wengine wale hasaraNilijua tuu hiki ndicho kinawasumbua,yaani as always mtu ambaye ni mkweli na bold hamumpendi, sasa alipopewa nafasi aongee mazingira ya biashara ulitaka aseme uwongo ili rais afurahi siyo? Hata kama ningekuwa mimi ndiyo chair wa body cha kwanza ni kutafuta mtu competent, hata kama ni mchina, hayo mengine ndiyo yatafuata. Ka mradi tuu ka UDART kanawatoa jasho hapa ndo iwe big company Kama vodacom???
Acha kuuliza maswali 'magumu' hivi bro.That thieving CEO. He never had humble beginning and possibly, he is still part of that set of corrupted mind. Never listen to people who firstly met Lucifer, before realizing God's norms. He must have been promised something in acceptance of that lady as the Voda CEO. I suspect! Kwanza yeye mwenyewe atueleze alichokifanya CRDB hadi ikafa kabla haijafufuliwa na akina Kimei.
Kuna katabia ka hawa wafanyabiashara kujiona wako juu, Wakiandika hata vitabu na kusimulia historia za maisha hawasemi walivyoiba, hawasemi walivyouza madawa ya kulevya. Eti wamefanikiwa kwa bidii, yes, but through unethical pathway! Anataka nasi tupitie njia hiyo, au tumsaidie kufanikisha udhaifu huo? Noooo!
He blames Tanzania, he blames the system, he blames education system. Now, let us learn from this insensitive bussinesscreature. Where or which institution did that lady went before qualifying for the nomination?
Vyuo vya Tanzania ni bure kabisa, mturuki yuko sawaMufuruki yuko sahihi. Tusilazimishe mambo. tutumie fursa kufanya kazi na wengine toka nje ili tupate ujuzi zaidi. Ni kweli vyuo vyetu vimejikita zaidi katika vyeti na kufaulu mitihani. hakuna training ya managers ya kiwango cha juu.
pumba tupu, ukweli humuutaki kabisaHuyu jamaa nikwambie tu kiukweli ni muhaya mwenye pesa halafu anadharau sana ,namfahamu kindakindaki,niliwahi hudhuria msiba wa baba yake.
Kingine kuna ziara moja rais Magufuli allifanya Uganda ,nakumbuka wakikutana marais wa afrika mashariki,jamaa alipewa nafasi ya kuongea kuhusu biashara,aliponda bongo kiana, Baadae Magufuli alimwambia Mufuruki kuhusu vikwazo unavyokutana navyo njoo uniambie kipi kikwazo tujue namna ya kufanya mimi niko tayari,lakini alikua anainanga nchi .
Huyu kama ulvyosema ukoloni umemjaa
"humuutaki" ndio nini? Swine wahedpumba tupu, ukweli humuutaki kabisa
Swine baba yako, angalia pua yake ilivyofanana na ya nguruwe, mbwa wee"humuutaki" ndio nini? Swine wahed