Ntwa A. Katule
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 239
- 225
And that problem is even reflected in the level of discussion we are having here. Arguments zimejaa personal attacks. Utajua hata critical thinking hatuna. Yaani mtu hawezi kujenga hoja bila kumuattack mtu. Ni kweli aliosema Mufuruki yaudhi , lakini yana ukweli kwa hiyo yapaswa tujitafakari na kujitathminiMufuruki yuko sahihi. Tusilazimishe mambo. tutumie fursa kufanya kazi na wengine toka nje ili tupate ujuzi zaidi. Ni kweli vyuo vyetu vimejikita zaidi katika vyeti na kufaulu mitihani. hakuna training ya managers ya kiwango cha juu.