MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,749
- 48,350
Haha, yani mkakati wa kuwamaliza nyie ni mdogo sana, tena sana. Tutawamaliza kwenye bei tuu, "race to zero". Huku mna mkopo na huku Tanzania anashusha bei mpaka bure. mtakuja wenyewe kutuomba samahani.
Mshushe to zero wakati leo hii mnaomba omba mkopo hadi kutoka kwa Zuma eti akawatetee, nyie mna misuli ipi ya kumtunishia Mkenya.