Is ITV pro- CHADEMA?

Wewe ni janga la kitaifa,bora masikio yako angepewa kiziwi mwenye kuweza kuyatumia vizuri!kwanin TBC huwa inakata mawasiliano pindi mambo yakiharibika bungeni?vigezo vya kuwa brand no 1 sio mchezo,mengi yanaangalia!hongera ITV,nashukuru hata mzee wangu sasa anajua,ikifika saa 2 utamsikia weka ITV!
 

mimi hata huwa sihangaiki kutazama habari za kituo hiki cha Itv mimi na star Tv
 
raisi yupo kila siku mbona haiwi habari kwa uwepo wake, issue ni point ya mtu sio uwepo wake,
pole sana shabiki mwaminifu wa magamba, sogea usinikwaruze na magamba yako ukanichania magwanda yangu.
 
Hebu nipe huo utaratibu na umeandikwa wapi?
Mahali fulani hivi....."Enyi magamba, ni nani amewaroga?" Damu za kina Daudi Mwangosi kutoka Iringa na meno ya kina Ulimboka kutoka msituni na makucha yao na nyingine nyingi za Arusha, Morogoro, Kiteto, Mtwara, Tarime.......mlizozinywa zinaelendea kuwakata ngebe. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni!
 

Mimi sioni tatizo lolote hapo,wandishi wanatoa habari yenye tija kwa walaji wahabari,lkn pia tupo kwenye soko huria ndo maana pamoja na ukweli kwamba operation pamoja daima ya chadema nxio habari kuu zaidi lkn tbc hawajawahi kuonesha habari hizo! lkn ziara za kinana na napezilipewa nafasi kubwa
 
Kaishtaki ITV kama ulikereka, toa ukale hapa. Unaambiwa kile ni chombo huru hutaki kuelewa kwani umewauliza TBC walikuwa wapi? Kabebe unga china
 
Naendelea kusisitiza kuwa watanzania tumefika hapa tulipo kwa sababu ya wivu,kijicho,roho mbaya,chuki,upuuzi,matumizi mabovu ya akili tulizopewa,unyambilizi,uonevu,upinzani usio na tija,kudaganywa,kuvurugwa,njaa,ulevi na umbea wa watu kama huyu mleta mada!
Kwani huwa unashikiwa bunduki au shoka na kulazimishwa kuwatch itv?
Utakufa hivyo hivyo na chuki zako za kijinga!
 

mkuu mimi sina chuki wala wivu akili yangu inanitosha kujadili mambo mapana na kawa upana wake, siwezi onea mtu wivu kumiliki kituo cha televisheni, naonea wivu watu innovative kama Steve Jobs na Bill gates, watu wenye weledi wa kubadilisha maisha ya mamilioni kwa ugunduzi wao..hao ndio naonea wivu mkuu, tv mtu yoyote anawez anzisha, sasa utaweza ona unazungumza na mtu wa namna gani, na uje na hoja ipi tuweze jadiliana katika mada niliiyotoa, uwezo wako umegota katika kuangalia nani kasema nini na si nini kimesemwa na kama kina logic au hakina ambapo pia kua na logic au kutokua na logic ni mtazamo wa mtu anayeliangalia jambo lenyewe
 

ondoa ugamba wako hapa si mwende au mwangalie [tbccm] yenu.
 

thank u,.
 

huu ni unafiki,uzandiki na umbwitu usiokuwa na maana.serikali ina chombo chake tbc,iweje uhoji vyombo vya habari private?kwanza mimi tbc huwa siangalii coz ni unafiki tu ndo umewajaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…