jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,833
- 7,599
Tena wakikutotoshelesha watoto 3 na zaidi ndiyo wanajifanya hufai tena! Sisi wanaume tuna shida sana, wengine wanashauri mtoto akikua mfanye mazoezi, kuondoa tumbo, kupunguza unene hasa na mazoezi ya kubana utamu na n.k. n.k.its true mwaya kama uko sexy,watakufuata, watakuoa,
ukishanyonyesha watoto na kunenepa kwa ajili ya kuzaa, haooooo wanaondoka kwa speed ya light.............mmnh
Wanaume wana balaa kabisa..poleni