Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,035
Unanijua mimi wewe??kati ya hao wawili mimi mmoja waoMbnaaaa wewee hujafanikiwaa mzee utangazee taifaaaa au bado bado upate sponsor
Sent using Jamii Forums mobile app
Unanijua mimi wewe??kati ya hao wawili mimi mmoja waoMbnaaaa wewee hujafanikiwaa mzee utangazee taifaaaa au bado bado upate sponsor
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Mwinyi alishawahi sema...
Ahahahahahahaaaaa.... hata maandishi yanayotumika kwenye uganga nayo ni yale yale tu...Hata waganga wengi Ni waislamu...
huko tumejazana wapagan tuliotokea kwenye chimbuko la ukristo
Yah mnajituma kweli kweli maana nilimwona amber rutty anajitumaWaislamu tupo vizuri sana katika michezo! Ni kujituma.
Hata hao wasingefika huko pasingekuwa WakristoVipi kuhusu walioelimika..?
Mnazani = MnadhaniWakristo wenyewe kila siku kulalamika, mara Dau kageuza nssf msikiti mara Assad kafanya ofisi ya CAG madrasa, mnazani tumesahau?
Unajuaje kuwa hajafanikiwa? Unamjua personally?Mbnaaaa wewee hujafanikiwaa mzee utangazee taifaaaa au bado bado upate sponsor
Sent using Jamii Forums mobile app
Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye wa.....Mnazani = Mnadhani
Enyi wafuasi wa Bwn. Mudy mtalialia mpaka lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Binti mbona unalalama sana kulikoni?Mnazani = Mnadhani
Enyi wafuasi wa Bwn. Mudy mtalialia mpaka lini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyeturoga? Malizia hilo kwetu wagalatia.Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye wa.....
Umeanza kuumia kunako...punguza jazba mama, tujadili mada.Binti mbona unalalama sana kulikoni?
Sasa watu msharogwa unategemea nini hapo?