Is he worth a second chance?

Does that means that you didn't get another stand all this time? What about him? If you have been "singles" all this time, then give it a try.
 
Moyo wa mtu kichaka, ila atakuwa anajutia sana by now ndio maana ameamua kurudi, unajua bhana katika maisha yoyote yale mazoea ndio yanayoleta tabu, mtu umeishi nae kwa muda wa miaka mitatu mnakuwa mumezoeana kama mapacaha vlie alafu ghafla unamiss his or her presence inakuwa inachanganya sana, msamehe bhana i think he deserve second chance after all umekuwa single kipindi chote hicho nafkiri there is still a chance
 
are you in a relationship now????? if not give that hore a second chance ........but don't expect any thing special from him (tabia zake na kila kitu unakijua usitegemee muujiza hapo)

ushauri wangu mkubalie alafu mapenzi yakinoga mcheat tena mcheat na mimi
 
mpe chance nyingine but kuwa nae makini sana always remember to follow your heart but dont be stupid enough to allow him to cheat on you again...coz people say if u cheat me once its your mistake but if you cheat me twice shame on me.
 

Hahahahaaa lol we kiboko ati
 

Hahahah ntakua kilaza wa pili sasa....no I'm not in a relationship now. Asante kwa ushauri lakini
 
maelezo yako yanaonyesha u radhi kuendelea na mtu wako huyo unayempenda sana; naye anajua unavyompenda. kubadilikaaaa......labda. mi huwa siamini hiyo habari lakini naskia wapo waliobadilika ingawa saa nyingine wanakuwa wamebadili strategies tu. majibu kwa maswali yako ni haya ya rangi ya kibuluu hapa chini.

Kilichonifanya nije kwenu niombe mawazo yenu nashindwa kujua kama yupo serious? mahari na ndoa. Nini kitanihakikishia kua hataniumiza tena? imani yako tu binti.
 

!
!
kama yuko sirias taratibu ziko wazi, aje kwenu ajitambulishe then akakutambulishe kwao muanze taratibu za kuwa mke na mume. Vinginevyo atakuduu then lapa
 
Hahahah ntakua kilaza wa pili sasa....no I'm not in a relationship now. Asante kwa ushauri lakini

kutembea na kilaza haimaanishi na wewe utakuwa kilaza wewe utabaki kuwa binti2013 mfana mzuri nina date na Tumboo mbona yeye hajawa kilaza???? (hataivyo nina mpango wa kumtema siku sio nyingi )

........I see u still have that feeling kwa jamaa kama bado unampenda mkubalie tuu sasa utafanyaje hahahahahahaha ninavyojua mimi sisi tunarudishaga "majeshi" kwa manzi wanasema ku"retreat" kwa sababu tunazozijua lakini sio kwasababu tumejuta (usiombe kuzijua hizo sababu)

..........
 
Last edited by a moderator:

Excellent
 
Last edited by a moderator:
Mwanaume akikucheat akakurudia hua ana pause tu..... then mkishakua stable ana rud kule kule...... but kama bado unampenda mwambie muoane tho hataacha kucht ila atleast utakua umewekwa ndani
 
Mwanaume akikucheat akakurudia hua ana pause tu..... then mkishakua stable ana rud kule kule...... but kama bado unampenda mwambie muoane tho hataacha kucht ila atleast utakua umewekwa ndani

mkuu anayewekwa ndani ni mwanaume au mwanamke.......
 

Uniteme kwani mm cheche ay mi pipi???
 
Last edited by a moderator:

Unachotaka kufanya is reading the same story book again...it will have the same ending...so akili kumkichwa
 

pole sana kwa yaliyokukuta but kwa maswali uliyouliza ni magumu kidogo,wewe ndo unamjua vizuri,unajua akisema uongo huwa anakuwaje na akisema ukweli huwa anakuwaje,sisi wengine huku tutapiga ramli tu kukisia majibu but listen to your heart
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…