Is education better than money?

Is education better than money?

SAID MTANGI

New Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
4
Reaction score
4
Hivi mnakumbuka zamani kwenye debate ile motion ya

"Education is better than Money"

napenda kujua ulikua una tetea upande gani na sasa hivi upo upande gani?

Maana haya maisha ya sasa hayataki ujinga....
 
Education always is doing better!
Impact ya money inapelekea akina prof lipumba kuwa wengi sana,
Walikua wanasoma wanawaza matumbo yao tu
 
Muuliza swali, nakuomba udadavue swali lako maana ni aina gani ya elimu unaposema?

Lea uchunguzi wangu nimegundua wenye maisha mazuri sio wasomi Bali watumiaji wa fursa haijalishi ana elimu au hana elimu!!! Ukiangalia kwa makini matajiri wakubwa duniani sio wasomi..... Bali wafanyabiashara!!! TENA wengine hawajaenda hata SEKONDARI
 
Education in what? Mtu aliyepata pesa KIHALALI hangeweza kuzipata kama hakuwa na elimu ya kumfanikisha kwenye hiyo shughuli iliyompa hizo pesa. Kwa hiyo lazima elimu inayozungumziwa hapa lazima iwe ile ya kumwezesha mtu kupata pesa. Dunia nzima, matajiri wengi wakubwa wana elimu ya kawaida tu-hata chuo hawajaenda. So, the correct education is much better than money.
 
Back
Top Bottom