Is Africa United?

Is Africa United?

Lakini si umeelewa..?!! sio mtihani huu..

Kwani wewe umenielewa vipi kutoka kauli uliyo-quote? Mantiki ya kitoto na lugha mbovu aliyotumia mwandishi ingefaa somo la Civil Studies kindergarten ya madrasah.
 
Ilikuwa jambo la maana kuongea juu ya gadafi maanake mwanzilishi wa mada hii alimtaja kama mojawapo ya watu wanaoelewa maana yake waafrika kuungana. Ingawa nakubaliana naye kuwa kuna umuhimu wa kuungana kama sisi waafrika, inafaa tujihadhari wa viongozi ambao lengo lao sio kuendeleza Afrika, bali ni kujitafutia hadhi na mamlaka makuu. Mimi naonelea kutumia gadafi kama mfano wa viongozi ambao wanafaa kuigwa ilikuwa ni makosa, maanake tunajua sasa Ghadafi siye mtu anayeaminika. Juzi alitembelea Bara Uropa na kuwaambia wamlipe kitita kikubwa maana anafanya kazi nzuri sana ya kuwazuia waafrika weusi kuhamia huko wakipitia Libya, na tena akatumia maneno mengine ninaona aibu kuyarudia kwa sababu yanakera sana.

Sioni ubaya wowote mtu kuwa mwislamu, lakini ungekubaliana na mimi vita vya kidini ndivo vimesababisha maafa mengi sana duniani hata kuliko magonjwa yote. Kwa nini mtu atake kusababisha vurumai za kidini Afrika akitazamia kulazimisha kila mtu awe wa dini hili au lingine? Kama umekuwa ukifuatilia matamshi yake ungejua naongea juu ya nini. Kama mtu yuataka kudadilisha dinilake, afanye hivyo kwa hiari yake, sio kwa kulazimishwa (na mtu kulazimishwa si lazima uwekelewe bunduki kwa kichwa, kuna njia tofauti za kulazimsha).

Ndugu MkenyaMzalendo,

Hapa africa Dini yenye wafuasi wengi zaidi kuliko wote ni Islam pili ni Ukristo lakini wote wafuasi wa dini mbili hizi tukufu wanaishi pamoja kwa amani kabisa kwa mfano kama hapa Tanzania Aids na magonjwa mengine ndio yanayo tuuwa zaidi kuliko Dini (Ndugu yangu angalia propaganada za Media zisikudanganye hasa CNN, BBC na Aljazeera).
 
rudia kuisoma post yako uilinganishe na issue inayojadiliwa hapa.

Ndugu Utingo,

Kama kweli bado haujaelewa maana ya sentence hiyo, sentence hiyo ni mfano baina ya upyeke na umoja.

Upweke ni udhaifu lakini umoja ni nguvu.

Mtume Muhammad s.a.w anasema "Mbwa mwitu hamli kondoo alio changanyikana na kondoo wenzake lakini humla kondoo alio jitenga na wenzake"
 
Ndugu MkenyaMzalendo,

Hapa africa Dini yenye wafuasi wengi zaidi kuliko wote ni Islam pili Ukristo lakini wote wafuasi wa dini mbili hizi tukufu wanaishi pamoja kwa amani kabisa kwa mfano kama hapa Tanzania Aids na magonjwa mengine ndio yanayo tuuwa zaidi kuliko Dini (Ndugu yangu angalia propaganada za Media zisikudanganye hasa CNN, BBC na Aljazeera).

Naam umenena ukweli (ingawa ningpenda upachike takwimu zinazoonyesha waislamu ni wengi kuliko wachristo barani Africa),

Lakini nadhani haukunifahamu kabisa. Ukifanya utafiti haswa wa historia ya hizi dini mbili katika bara uropa na pia Asia, utakuta ya kuwa takwimu za watu waliouawa kwa sababu ya kidini imezidi idadi ya mauaji mengine yote
 
It will take years for such thing to happen, Africa ngumu sana na makabila ndio yanatuharibia we angalia hapo Kwa watani zetu wenyewe kwa wenyewe wanashindana ije kuwa the whole of Africa with the likes of people like Somalis and so! But on the other hand things happens!!! back in the day who could have predicted that one day places like Brixton, or many western urban areas will be flooded with population of ethnic minorities
from all over the world. Incredible! SO BECAUSE OF THESE REASONS I THINK A' IM 50-50!
 
Naam umenena ukweli (ingawa ningpenda upachike takwimu zinazoonyesha waislamu ni wengi kuliko wachristo barani Africa),

Lakini nadhani haukunifahamu kabisa. Ukifanya utafiti haswa wa historia ya hizi dini mbili katika bara uropa na pia Asia, utakuta ya kuwa takwimu za watu waliouawa kwa sababu ya kidini imezidi idadi ya mauaji mengine yote

Dini si Adui ndugu yangu,

Dini ndio zinazo watengeneza watu waishi vizuri (Dini ni life manual kutoka kwa Muumba).

Kama si Dini tungeishi kama wanyama au hata kuwapita wanyama kwa ujinga.

Adui mkubwa wa watu duniani ni maradhi kama vile AIDs (tunayo jiletea wenyewe) na vita vinavyo anzishwa na madictotors kama wale walio anzisha World war 1,2,........walio tupa nuclear bombs, pia usisahau vita vya kuiba petroli kwa mabavu huko Iraq.

Ufisadi pia ni adui wa binadamu, Dini si adui, Maadui ni sisi wenyewe Binadamu hasa pale tamaa inapo zidi kupita kiasi.

Kuhusu takwimu ulio niuliza tafadhali soma hapo chini labda utapata jibu ,

http://en.wikipedia.org/wiki/Islam_in_Africa
 
Ndugu Coach Parcells,

Hakuna makosa katika maneno alio andika ndugu Zawadi.


Ndugu Igunga,

Utamaduni wa uduni unawakweza. Crap is crap.

chicken-shit.jpg
 
Kwani wewe umenielewa vipi kutoka kauli uliyo-quote? Mantiki ya kitoto na lugha mbovu aliyotumia mwandishi ingefaa somo la Civil Studies kindergarten ya madrasah.

My friend let me tell u something; I have studied Spanish, Arabic and French for six months only. My aim was not to be a journalist but just to use these languages as a means of communication like blog and so on. Also it helps me to understand different cultures and traditions.

For your surprise, I have been writing different threads and replying in Spanish, Arabic and French in 2009 and 2010, but there was no one who came and corrects my language. Guess why? Don't tell me that I wrote better than English! Just because they know that is not my mother tongue. Furthermore they understand that, this is global communication and that is the advantage of internet and many people wants to contribute despite difficulties in language.

This really indicates how some Tanzanians are unconfident and inferiors, not knowing what is the key issues in general. But many bloggers are very intelligent and try to get the centre of the ideas and gives their argument, excellent.

My advice to you penguin guys: Don't limit participants to express themselves just because you think your language is better than them. I believe that even primary school pupils can join these discussions in English. I shouldn't bother with their language. Come on everybody to the world classroom no matter how much you master the English or Swahili.

I blog everywhere in 6 different languages and I master none of them. That is my hobby and i enjoy it.
 
Africa is not united; because:
1. Lack of self-identity
2. Lack of direction as a people.
3. Lack of knowledge of what our goals are and how to satisfy them independently.
4. Loss of own culture, beliefs and religion.

And for that, we are divided.
 
shida ya muungano wa nchi nyingi za sasa si wa kuleta maendeleo ya kweli bali ni wa kumnyonya mwingine baada ya wenyewe kubanwa na ubepari kama kenya walivyo desperate kujiunga na eac, shida sio kutaka nchi zote ziendelee la hasha, shida kwao ni kupata breathing space jinsi ubepaqri ulivyowakali kooni sasa muungano kama huo huwezi uita ni mzuri!
 
My friend let me tell u something; I have studied Spanish, Arabic and French for six months only. ...

I blog everywhere in 6 different languages and I master none of them. That is my hobby and i enjoy it.

This doesn't qualify as an excuse for your mediocre English skills. Did you not learn in the English medium at school and/or College? How about showing us examples of your blogging in "6 different languages"? Is Kikwere one of the "6 different languages"?
 
Ilikuwa jambo la maana kuongea juu ya gadafi maanake mwanzilishi wa mada hii alimtaja kama mojawapo ya watu wanaoelewa maana yake waafrika kuungana. Ingawa nakubaliana naye kuwa kuna umuhimu wa kuungana kama sisi waafrika, inafaa tujihadhari wa viongozi ambao lengo lao sio kuendeleza Afrika, bali ni kujitafutia hadhi na mamlaka makuu. Mimi naonelea kutumia gadafi kama mfano wa viongozi ambao wanafaa kuigwa ilikuwa ni makosa, maanake tunajua sasa Ghadafi siye mtu anayeaminika. Juzi alitembelea Bara Uropa na kuwaambia wamlipe kitita kikubwa maana anafanya kazi nzuri sana ya kuwazuia waafrika weusi kuhamia huko wakipitia Libya, na tena akatumia maneno mengine ninaona aibu kuyarudia kwa sababu yanakera sana.

Sioni ubaya wowote mtu kuwa mwislamu, lakini ungekubaliana na mimi vita vya kidini ndivo vimesababisha maafa mengi sana duniani hata kuliko magonjwa yote. Kwa nini mtu atake kusababisha vurumai za kidini Afrika akitazamia kulazimisha kila mtu awe wa dini hili au lingine? Kama umekuwa ukifuatilia matamshi yake ungejua naongea juu ya nini. Kama mtu yuataka kudadilisha dinilake, afanye hivyo kwa hiari yake, sio kwa kulazimishwa (na mtu kulazimishwa si lazima uwekelewe bunduki kwa kichwa, kuna njia tofauti za kulazimsha).

Katika hilo nakubaliana na wewe kuwa tunapoongelea muungano wa waafrika tunatakiwa kuwa makini, maana kuna viongozi wanaongelea muungano baada ya mambo yao kukwama. Mfano Gaddafi sio kiongozi wa kutuambia masuala ya muungano wa Afrika wakati huko nyuma alikuwa anaongoza kwa kuwadharau watu weusi na kuwa kuhamasisha zaidi muungano wa waarabu. Ni huyo aliyekuwa hataki kuziita nchi za maghreb kama ni Afrika. Ni katika kipindi chake waafrika weusi walinyanyaswa na kufukuzwa kutoka Libya katika miaka ya 1980. Halafu huyo ndiyo kiongozi aliyediriki kusema ukristo sio dini ya kiafrika ila uislamu akasahau kwamba hata uislamu sio dini ya kiafrika.
Baada ya kukuta waarabu wenzake hawaeleweki ndio anakuja kwa nguvu kupiga kelele za muungano wa afrika. Naungana na MkenyaMzalendo kuwa AU haina msaada wa maana kwa waafrika ndio maana watu kama Al Bashir, Mugabe na hata Kibaki wamefaidika sana na uwepo wa AU lakini raia wa kawaida huko Somalia wanaumia sana huku nchi zikiogopa kusaidia Somalia. Lakini lilipokuja suala la maslahi ya kibeberu pale DRC nchi za zimbabwe, Namibia, Angola, Rwanda, Uganda na nyinginezo zilipeleka wanajeshi wengi mno.

Kwa hiyo mi nashauri ili Muungano wa Afrika ufikiwe kila nchi iungane na jirani inaemuamini halafu pole pole tutakuja kuunganisha Africa nzima.
 
Katika hilo nakubaliana na wewe kuwa tunapoongelea muungano wa waafrika tunatakiwa kuwa makini, maana kuna viongozi wanaongelea muungano baada ya mambo yao kukwama. Mfano Gaddafi sio kiongozi wa kutuambia masuala ya muungano wa Afrika wakati huko nyuma alikuwa anaongoza kwa kuwadharau watu weusi na kuwa kuhamasisha zaidi muungano wa waarabu. Ni huyo aliyekuwa hataki kuziita nchi za maghreb kama ni Afrika. Ni katika kipindi chake waafrika weusi walinyanyaswa na kufukuzwa kutoka Libya katika miaka ya 1980. Halafu huyo ndiyo kiongozi aliyediriki kusema ukristo sio dini ya kiafrika ila uislamu akasahau kwamba hata uislamu sio dini ya kiafrika.
Baada ya kukuta waarabu wenzake hawaeleweki ndio anakuja kwa nguvu kupiga kelele za muungano wa afrika. Naungana na MkenyaMzalendo kuwa AU haina msaada wa maana kwa waafrika ndio maana watu kama Al Bashir, Mugabe na hata Kibaki wamefaidika sana na uwepo wa AU lakini raia wa kawaida huko Somalia wanaumia sana huku nchi zikiogopa kusaidia Somalia. Lakini lilipokuja suala la maslahi ya kibeberu pale DRC nchi za zimbabwe, Namibia, Angola, Rwanda, Uganda na nyinginezo zilipeleka wanajeshi wengi mno.

Kwa hiyo mi nashauri ili Muungano wa Afrika ufikiwe kila nchi iungane na jirani inaemuamini halafu pole pole tutakuja kuunganisha Africa nzima.

Fact or fiction?
 
Back
Top Bottom