Huyu mwamba nimeona anajipanga kutaka kurudi tena ulingoni,sijui kama atafua dafu,ila nadhani anajua atatengeneza pesa nyingi sana kwenye huo mpambano hata kama atashindwa,kwahiyo hatajali kupoteza pambano anaangalia zaidi mkwanja...
Sent using
Jamii Forums mobile app