Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 844
Mada kama inavyoeleweka naomba tujadili ni, mfumo upi bora kati ya iron dome na s-300
Je, Iran baada ya kupata s-300 mfumo huu unaweza kukinga ndege za Israel za f-16 zisipige Iran?
Karibuni sana tueleweshane juu ya hili
Ahsanteni
Je, Iran baada ya kupata s-300 mfumo huu unaweza kukinga ndege za Israel za f-16 zisipige Iran?
Karibuni sana tueleweshane juu ya hili
Ahsanteni