Ya Leo Kali nimekuta irizi kwenye dirisha la nyumba nliyopanga,yaani mpaka nimeishiwa Nguvu kabisa,nishaurini nimprovoke huyu mama au ninyamaze na kuichoma tu
tutajuaje kama ni yako unataka kutuonyesha we ndo swain hahaha huyo mwenyenyumba wako atakuwa na uchawi wa kuchezea kuhangaika na mpangaji kama wewe loh