GE2025 Iringa: Wazee wa Mila wadai Rais Samia anapendwa kwa asilimia 199

GE2025 Iringa: Wazee wa Mila wadai Rais Samia anapendwa kwa asilimia 199

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Wazee wa Mila katika eneo la Kalenga Mkoani Iringa wameeleza matumaini makubwa waliyonayo kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba tayari wamemkubali kuendelea na wadhifa wake baada ya Uchaguzi Mkuu.

Pia, wamewaasa vijana kuweka imani kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ili waendelee kunufaika na uongozi wake.

 
Hao wazee wa mila wana msaada gani kwenye hii nchi zaidi ya kuturudisha nyuma
 
mkwawa akifufuka leo..?? hawa wazee sijui watajificha wapi..
 
Wazee wa Mila katika eneo la Kalenga Mkoani Iringa wameeleza matumaini makubwa waliyonayo kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba tayari wamemkubali kuendelea na wadhifa wake baada ya Uchaguzi Mkuu.

Pia, wamewaasa vijana kuweka imani kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ili waendelee kunufaika na uongozi wake.

Hata wajinga huzeeka
 
Wazee wa Mila katika eneo la Kalenga Mkoani Iringa wameeleza matumaini makubwa waliyonayo kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwamba tayari wamemkubali kuendelea na wadhifa wake baada ya Uchaguzi Mkuu.

Pia, wamewaasa vijana kuweka imani kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ili waendelee kunufaika na uongozi wake.

Na kesho wanaomba hela ya pombe ya komoni
Hawajijui kabisa hawa wazee, akikuomba pesa tia kibao cha nguvu kwenye shavu lake hadi apate akili
 
Back
Top Bottom