Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,366
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa kutoka Mjini Iringa, ambako kunafanyika Maandamano Makubwa ya Wamachinga wanaotaka Mchungaji Msigwa arejee Bungeni Jumatatu asubuhi ili akawatee kama awali.
Haifahamiki inawezekanaje takwa lao hilo kukubaliwa, maana Mbunge wa sasa wa Iringa Mjini ni Msabatavangu, ambaye badala ya kutetea wamachinga, yeye amejipambanua kama mtetezi wa nguvu za kiume Bungeni.
Bado haijafahamika mwisho wa Maandamano hayo itakuwa nini.
Haifahamiki inawezekanaje takwa lao hilo kukubaliwa, maana Mbunge wa sasa wa Iringa Mjini ni Msabatavangu, ambaye badala ya kutetea wamachinga, yeye amejipambanua kama mtetezi wa nguvu za kiume Bungeni.
Bado haijafahamika mwisho wa Maandamano hayo itakuwa nini.