GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,620
- 4,265
Wakuu jana nilileta uzi hapa, kuelezea ruhusa ya Meya wa Manispaa ya Iringa kwa wamachinga kuendelea na biashara eneo la mashine tatu.
Lakini nimeshtuka leo kumsikia radio Ibony Fm akidai vijana hao walimwelewa vibaya au wameamua kupotosha ukweli kwa makusudi. Na badala yake amesema watakaa tena tar 28 kujadili maombi yao.
Chanzo: Radio Ibony Fm
My take: nahisi kuna order za kisiasa from somewhere.
Lakini nimeshtuka leo kumsikia radio Ibony Fm akidai vijana hao walimwelewa vibaya au wameamua kupotosha ukweli kwa makusudi. Na badala yake amesema watakaa tena tar 28 kujadili maombi yao.
Chanzo: Radio Ibony Fm
My take: nahisi kuna order za kisiasa from somewhere.