Mbunge wa Iringa Mjini na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mch. Peter Msigwa amekamatwa na polisi jimboni Iringa mjini alipokuwa katika mkutano wa hadhara jioni hii.... Sababu za kukamatwa kwake bado hazijajulikana
Tutaendelea kuwaletea kinachoendelea....
=========
========
Vita ya Uchumi
Matokeo chanyA+ Radio
=======
"Mchungaji Msigwa amekamatwa na polisi katika mkutano wa hadhara bado anahojiwa, viongozi wamezuiwa kumuona"- Dady Igogo Naibu, Meya Iringa
Zito kabwe kamaliza tayari, Nchi sasa inaongozwa na washamba wawili toka kolomije na Chato mmoja ana phd feki na mwingine hana vyeti na sasa anaitwa Maliyamungu BashiteUnadiriki kumlinganisha Msukuna na Msigwa!! ni sawa na kumlinganisha mvuta bangi au kichaa na mtu mwenye akili timamu
Mnashindwa kuwakamata wahalifu wenye silaha mnakamata wapinzani.Safi sana na alale Lupango, tangu alivyoidhalilisha nchi yangu kwenye TV za Kenya nimemchukia sana huyu Msigwa!
Rudia kusoma ulichoandikaAngetangulia ahera mboe aliemuua chachawangwe we unafikiri dua lakukulinampataga mwewe?ndomana yesu alisema ambae hajazin ampige mawe huyu kahaba yesu akainama chin akawa anachora alipinyanyua kichwa hakuona mtu hata mmoja bali niyule kahaba nayeye,
Kuandika kunashinda utaweza kufikiri?Angetangulia ahera mboe aliemuua chachawangwe we unafikiri dua lakukulinampataga mwewe?ndomana yesu alisema ambae hajazin ampige mawe huyu kahaba yesu akainama chin akawa anachora alipinyanyua kichwa hakuona mtu hata mmoja bali niyule kahaba nayeye,
Inawezekana ni mnufaika au hujielewiMimi Mzalendo naipenda nchi yangu!
CCM ni bora imwambie mfalme afute mfumo wa vyama vingi kwa maana amezidisha woga juu ya mamlaka yake.
Nakuhakikishia hiyo hali karibu inapotea. Kutakuja kuwa na zone ambazo makundi fulani ya watu wajionao ni grade A citizen hawatakaa wakanyage. Na kwa vile ndugu zao wako huko hata misiba yao hawatahudhuria sio kwa sababu hawawapendi ndugu zao, bali kwa sababu hawana hakika kama wakienda huku watarudi salama maskani kwao.Nnavyojua huko Gaza na Somalia polisi huwa hawakatizi mitaa bila vifaru na magari ya delaya, ni Tanzania tu ambapo polisi anamaliza kukusurubu akiwa kwenye kikosi na kisha kumuona uraiani free anakula bia na kiti moto bila bugudha!
Kumbe Magufuli ni HR wa Air Tanzania? Mpaka anaachisha watu kazi? Kumbe ana kazi nyingiMke wa Lukuvi alipotimliwa kazi na mkulu,mbona myalukolo bado anaduda?.
MjukumuSafi sana. Wacheni jeshi la polisi litimize majukumu yake.
Nguvu ya CCM niko kwa Polisi tu. Kujivu hoja hamweziSafi sana na alale Lupango, tangu alivyoidhalilisha nchi yangu kwenye TV za Kenya nimemchukia sana huyu Msigwa!
Wafanye hivyo mkuuNadhani wafungue ofisi ndogo kwenye vituo vya polisi.
Wewe usiejielewa labda unapesa za ndotoni mwenye pesa huwa hana wivu,kinyongo na mtu mwingine pale anapotoa mawazo huru,duniani gani ambayo wewe umezunguka? Muda mwingine mkiona mada zimewazidi kimo ni bora ukakaa kimya usome vitabu[HASHTAG]#Denisdenny[/HASHTAG],
Asante kwa kunitusi.
Mkuu, Nina hela/ pesa ya kuwalisha na kuwavisha ukoo wako kwa miaka 30 kwa aina yoyote ile ya chakula mtakachopenda kula na mavazi ninyi wote.
Na pia, Mimi siyo mwanasiasa (ccm, UKAWA au CDM).
Kitu ambacho sipendi ni hiyo tabia ya watu kutukana nchi yetu kwa mgongo wa siasa.
Binafsi, nafanya kazi takribani dunia nzima ila siwezi nikaitukana serikali au nchi yangu.
Na sifanyi kazi seriklini.
Alichokifanya Mr. Msigwa ni jambo la kisaliti, kihaini na kudharau nchi yake hivyo, mtu wa hivyo, hastahili hata kuishi.
Any way, ndiyo akili za upinzani hawaelewi jambo la kisiasa na amani ya nchi yetu.