Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,300
- 33,917
Kwa muda wa wiki tatu sasa wakazi wa Manispaa ya Iringa hawana Mafuta ya taa na hakuna taarifa yoyote toka wa viongozi wa Serikali wala wamiliki wa vituo vya Mafuta ni nini kinaendelea. Bei ya Umeme iko juu na mafuta hayapatikani serikali inategemea wananchi wataacha kukata miti ili kutengenezea Mkaa?