Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,030
- 40,068
Nina hakika feelings za kujinyonga zinawakumba vijana wengi sema ishu kama za mila na dini zinawafanya waachane na mawazo hayo .Aisee mkuu! Wewe unayaelewa maisha![]()
Ukweli kama sio ishu za mila na dini watu wamekuwa wanajimaliza mapema sana.


