Iringa: Ajinyonga kisa ugumu wa maisha

Iringa: Ajinyonga kisa ugumu wa maisha

Miaka kadhaa nyuma nilikua naongea na Jamaa angu,Kuna kauli aliongea nilijikuta napata mstuko

Alisema "zamani nikiwa mdogo nikisikia mtu kanyinyonga nilikua namuona mjinga saana kumbe nilikuwa nafikiri tofauti"
 
Umri kama huo wake na mimi nusu nijinyongege kwa ugumu wa maisha, umri wa 20 mpaka 30 sio umri mzuri kiutafutaji kwa sisi vijana wa kimaskini ambao wazazi hawakuandaa maisha yetu ya baadae, ni umri wa mapito makali sana.
Kama hujishughilishi lazima mambo yawe magumu!
 
Back
Top Bottom