Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,425
- 4,654
Hapa munamponda bure yule mwanamama,kwenye publicity nikama ametumbuliwa lakini wenyewe na jiwe wanajua linaloendelea,mama bado anamaisha yake na anaweza hata kula ubalozi huko Canada.Mana wajuaje kama anayohukumiwa nayo yaliandaliwa na kupikwa na aliye mtumbua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app