Wairan baada ya kulimwa vikwazo vikali vya kiuchumi sasa shughuli za kufanya zimepungua mno ndio maana wanapata muda wa kufanya hayo.
Tumenunua ndege nane tena kwa cash, tumejenga Chato International Airport, tunajenga SGR Dar to Moro, tunajenga Stieglar Gorge Dam
Kama wewe umenunua hongera ilawenzako wanatengeneza wenyeweTumenunua ndege nane tena kwa cash, tumejenga Chato International Airport, tunajenga SGR Dar to Moro, tunajenga Stieglar Gorge Dam
Tena tuna mpango kabambe wa kujenga Referral Hospital Chato etc, what else do you want us to do. After all, Iran ni third world tu kama sisi.
Iran hawana Aircraft Manufacturing Technology, kabla ya vikwazo walikuwa na mpango wa kununua Boeing tena nyingi tu.
Kuna eneo la mija ya mitaa pale Tehran serikali imechora bendera za Marekani na Israel kwa gharama zao, pakitokea maandamano serikali huwa inawaelejezea waandamanaji kwenda kwenye huo mtaa ili waikanyage michoro ya bendera za nchi hizo.Ndio hivyo Mkuu; wana kiwanda cha kutengeneza bendera za US, UK, na Israel ili zigawiwe kwa wafuasi wao wazichome hadharani kwenye mihemuko yao! Propaganda za kipumbavu na kizamani sana!
Hii habari niliiona BBC wanachuo walikuwa wanapita pembeni.Kuna eneo la mija ya mitaa pale Tehran serikali imechora bendera za Marekani na Israel kwa gharama zao, pakitokea maandamano serikali huwa inawaelejezea waandamanaji kwenda kwenye huo mtaa ili waikanyage michoro ya bendera za nchi hizo.
Katika maandamano ya hapa mwishini wananchi waligoma kuzikanyaga na badala yake wakazizunguka na kuanza kuimba nyimbo za kusifu nchi hizo.
Wewe kaa tu hapo na uendelee kupiga domo nakuendelea na chuki zako zisokua na maanaIran hawana Aircraft Manufacturing Technology, kabla ya vikwazo walikuwa na mpango wa kununua Boeing tena nyingi tu.
Mapenzi yakizidi uongo hua mwingi.
Hapo juu tu umesema kama zinatengenezwa bendera zikanyagwe halafu sasa hv unajitoa ufahamu
Kuna eneo la mija ya mitaa pale Tehran serikali imechora bendera za Marekani na Israel kwa gharama zao, pakitokea maandamano serikali huwa inawaelejezea waandamanaji kwenda kwenye huo mtaa ili waikanyage michoro ya bendera za nchi hizo.
Katika maandamano ya hapa mwishini wananchi waligoma kuzikanyaga na badala yake wakazizunguka na kuanza kuimba nyimbo za kusifu nchi hizo.
Hao watu walokua wanazisifu hizo nchi hata 100 walifika kweli ?!Kuna eneo la mija ya mitaa pale Tehran serikali imechora bendera za Marekani na Israel kwa gharama zao, pakitokea maandamano serikali huwa inawaelejezea waandamanaji kwenda kwenye huo mtaa ili waikanyage michoro ya bendera za nchi hizo.
Katika maandamano ya hapa mwishini wananchi waligoma kuzikanyaga na badala yake wakazizunguka na kuanza kuimba nyimbo za kusifu nchi hizo.
Hao ni mabingwa wa reverse engineering ila wameshindwa ku-upgrade zile ndege za F-15, F-16 ambazo Shah alinunua Marekani.Wewe kaa tu hapo na uendelee kupiga domo nakuendelea na chuki zako zisokua na maana
Kwani US hawanunui ndege ?! Ama kwasababu hawana uwezo wakutengeneza
UK Hawanunui Ndege Ama Hawana Uwezo Wakutengeneza
FRANCE Hawanunui Ndege Ama Hawana Uwezo Wakutengeneza
Nakujuza Tu Kama Sijakosea Jina la Kampuni HESA Ambayo Ina Deal Na Aircraft Manufacture Ya IRAN Ilianzishwa Mwaka 1976 Kama Hata Kugugo Unashindwa Unakuja Kuongea Chuki Tu Hapa Unategemea nn
IRAN Kweli Iliagiza Mamia Yamandege Ila Kutokana Navikwazo Hawakuzipata Ila IRAN wanamanufacture Wenyewe Ndege Usipende Kukariri Kama Huwez Kuagiza Kitu Unachotengeneza Kunasababu Mbali Mbali Hasa Hasa Zakiuchumi Na Kidiplomasia Zinazokufanya Uagize Vitu Nje Ya Taifa Lako Hatakama Unatengeneza Mwenyewe
Unapo Ona US Anapata Shida Kupambana Na WAAJEMI Unatakiwa Uelewe Anapambana Namoja Yamataifa Ambayo Yamekamilika Sanaaa Nandio Maana Baadhi Yavikwazo Vyake Hua Havifanikiwi Hata Kwa Asilimia 30 Sababu Anaweka Vikwazo Ambavyo Unakuta IRAN Hilo Jambo Anaweza Kulifanya Pia Inaweza Ikawa Ulipinga IRAN Kumanufacture Aircraft Kwasababu Ulikua Huujui Ukweli Ama Unaona Jamaa Hawana Uwezo Huo Ama CHUKI Tu Kwa Waajemi
Unaposikia IRAN Inaongelewa Unatakiwa Uelewe Nakufahamu Kwamba Linaongelewa Taifa Ambalo Linatengeneza Nakuunda Mavitu Ambayo Hata Baadhi Ya Nchi Za Ulaya Haziundi IRAN Inaunda Mpaka Satelite Unakuja Kubisha Kutengeneza NDEGE
US Anatakiwa Achange Sana Karata Zake Kukabialana na WAAJEMI Kivyovyote Vile KISIASA KIJESHI KIUCHUMI
Halafu Nakujuza Tu Hua Siongelei Mahaba Naongelea Uhalisia Wamambo Nnavyo Yafahamu Ama Nlivyoyaona ama Kuyasikia Kwawatu Mbali Mbali Ukiisikia IRAN Isikie Kama Unavyoisikia IRAN Imepiga Hatua Kubwa Mnoo Hasa Kama Utaambiwa Inavikwazo Toka Mwaka 1979
Siku Nyengine Utakapo Ifananisha Nchi Yako Na IRAN Sitajisumbua Kukujibu Maana Utakua Huna sababu Yakujibiwa Umeikosea Sana Heshma IRAN Ukiliongelea Taifa La IRAN Unaliongelea Taifa Lawasomi Sana Ulimwenguni Taifa Ambalo Maana Karibu 95% ya Wairan Wanajua Kusoma Sivijijini wala Wapi Nlitembea Maeneo Maeneo Flan Hapo Nchini Kwako AIBU AIBU AIBU Usipende Kuifananisha IRAN na mambo ya Ajabu Kijana
Halaf Naona Kama Kawaida Shost Yako (Rafiki Yako FRANK WANJIRU)Analike Koment Ya Uongo Kisa Imepingana Na Ukweli Tujifunzeni Tuu Kuukubali Ukweli Hatakama Hatuupendi Ama Unatuumiza Maana Hua Hakuna Namna Sasa.....
Huo Mzigo Hapo MADE IN IRAN Chini Ya HESAView attachment 1343089
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti Bado Sana Wewe Kaa Tu Hapo Upige Kelele Ulisema Hawana Manufacture Ya Aircraft Sasa Hv Unaruka Ruka Kama Umemeza Ugali WamotoHao ni mabingwa wa reverse engineering ila wameshindwa ku-upgrade zile ndege za F-15, F-16 ambazo Shah alinunua Marekani.
Iran technology bado sana, huoni wanavyolia waondolewe vikwazo, hiyo ndege utakuta engine na spare parts zingine wametoa Russia, wao wameunda bodi tu.
Duh! Jf kuna majibu mabovu mno, yasiyohatafikiriwa.
Baada ya wenyewe kudungua ndege ya Ukraine na kuanza kusingizia Marekani kama kawaida yao kabla ya kuumbuka.
Wameisingizia US Kwakipi ?!Baada ya wenyewe kudungua ndege ya Ukraine na kuanza kusingizia Marekani kama kawaida yao kabla ya kuumbuka.
Waliwasingizia ndio maana waandamanaji wakagoma kukanyaga zile bendera za Marekani na Israel.Wameisingizia US Kwakipi ?!
Wakati Wao Walisema Hawajadungua Tu...
Sent using Jamii Forums mobile app