Iranian factory makes U.S. and Israeli flags to burn

dudus

JF-Expert Member
Feb 28, 2011
21,988
48,939
Hawa jamaa akili zao wanazijua wenyewe! Yaani wanatengeneza bendera za Marekani, Uingereza, na Israel purposely kwa ajili ya kuzigawa kwa supporters wa Serikali ili wazichome hadharani kwenye maandamano yao. Soma hiyo.

=====

flag for burn.jpg

KHOMEIN, Iran (Reuters) - Business is booming at Iran's largest flag factory which makes U.S., British and Israeli flags for Iranian protesters to burn.

At the factory in the town of Khomein, southwest of the capital Tehran, young men and women print the flags by hand then hang them up to dry. The factory produces about 2,000 U.S. and Israeli flags a month in its busiest periods, and more than 1.5 million square feet of flags a year.

Tensions between the United States and Iran have reached the highest level in decades after top Iranian military commander Qassem Soleimani was killed in a U.S. drone strike in Baghdad on Jan. 3, prompting Iran to retaliate with a missile attack against a U.S. base in Iraq days later.

In state-sponsored rallies and protests in Iran, demonstrators regularly burn the flags of Israel, U.S. and Britain.

Ghasem Ghanjani, who owns the Diba Parcham flag factory, said: "We have no problem with the American and British people. We have (a) problem with their governors. We have (a) problem with their presidents, with the wrong policy they have."

"The people of America and Israel know that we have no problem with them. If people burn the flags of these countries at different rallies, it is only to show their protest."

Rezaei, a quality control manager, who declined to give her first name, said, "compared to the cowardly actions of the United States, such as General Soleimani's assassination, this (burning an American flag) is a minimal thing against them. This is the least that can be done."

For hardliners, anti-American sentiment has always been central to Iran's Islamic revolution, and Iran's clerical rulers continue to denounce the United States as the Great Satan.

Last November, however, many Iranians took to the streets to protest against the country's top authorities, chanting "our enemy is not the U.S., our enemy is here."

During protests this month that erupted after Tehran belatedly admitted shooting down a passenger plane by mistake, young demonstrators in Tehran refused to step on the American flag painted on the street.

Source: Yahoo News
 
Wamechoma lini tena? Lol, same shit, different day.
AFAIK they burn American flag all the time, I have been watching Iranian burn US flags for decades, tarehe 5 huko walichoma, mwaka Jana walichoma nk. But that's not going to give them what they're aiming for.

chaliifrancisco bado Iran wanaonewa ?
... stupid and obsolete propaganda! Shame to them.
 
Wamechoma lini tena? Lol, same shit, different day.
AFAIK they burn American flag all the time, I have been watching Iranian burn US flags for decades, tarehe 5 huko walichoma, mwaka Jana walichoma nk. But that's not going to give them what they're aiming for.

chaliifrancisco bado Iran wanaonewa ?
To be honest burning flags (flag desecration) tena zile umetengeneza kwa gharama zako mwenyewe is like a waste of time, but it's only a way to provoke the nations whose flags are desecrated.

As huyo owner amesema hawana shida na raia wa hizo nchi bali their 'presidents, governors and policies'.

So mainly they are against the Westerners policies in the Middle East. And burning flags seems to be the best way to show how opposed are they to what the Westerners are doing.

This is a common way of protesting against policies ambazo protestors wanaona hazifai kwao. And in so many countries ni illegal so doing it ni njia ya kufikisha ujumbe.

Kuhusu Iran kuonewa, generally i think, sio kwa Iran tu bali intervention ya US in the Middle East is the reason kwa all the chaos in the region so they should assess themselves waone ni wapi wanakosea na ni nini way forward.
 
To be honest burning flags (flag desecration) tena zile umetengeneza kwa gharama zako mwenyewe is like a waste of time, but it's only a way to provoke the nations whose flags are desecrated.

As huyo owner amesema hawana shida na raia wa hizo nchi bali their 'presidents, governors and policies'.

So mainly they are against the Westerners policies in the Middle East. And burning flags seems to be the best way to show how opposed are they to what the Westerners are doing.

This is a common way of protesting against policies ambazo protestors wanaona hazifai kwao. And in so many countries ni illegal so doing it ni njia ya kufikisha ujumbe.

Kuhusu Iran kuonewa, generally i think, sio kwa Iran tu bali intervention ya US in the Middle East is the reason kwa all the chaos in the region so they should assess themselves waone ni wapi wanakosea na ni nini way forward.
Unajua kwanini napenda kukuita?
Kwa sababu huwa unajibu kwa akili sana.
My hat's off to you.

Nilikuwa nasubiria ujibu kiushabiki nikukamate mahali, namaanisha nilikuwa nimeshakwisha andalia majibu ya kukujibu, ila kwa namna yenye umejibu ni kama mtu mwenye akili na sio shabiki.

Ni kweli hata Americans wenyewe wengi hawafurahishwi na baadhi ya mambo yanayoendelea ni vile hamna namna.
 
Unajua kwanini napenda kukuita?
Kwa sababu huwa unajibu kwa akili sana.
My hat's off to you.

Nilikuwa nasubiria ujibu kiushabiki nikukamate mahali, namaanisha nilikuwa nimeshakwisha andalia majibu ya kukujibu, ila kwa namna yenye umejibu ni kama mtu mwenye akili na sio shabiki.

Ni kweli hata Americans wenyewe wengi hawafurahishwi na baadhi ya mambo yanayoendelea ni vile hamna namna.
Thank you for the compliment, ina ni encourage nijifunze zaidi maana najiona nipo shallow sana.

Ni intuition tu imefanya nijibu hivyo. And by the way sio kila kitu utabishia kishabiki tu, most of the time objectivity is important to understanding things.
 
Thank you for the compliment, ina ni encourage nijifunze zaidi maana najiona nipo shallow sana.

Ni intuition tu imefanya nijibu hivyo. And by the way sio kila kitu utabishia kishabiki tu, most of the time objectivity is important to understanding things.

Heshima yako Mkuu
 
Mna MACHUNGU YA KIPIGO KIKALI MNACHOTEMBEZEWA MNAKUJA KUJIFARIJI KWA BENDERA, SASA BENDERA ITUSAIDIE NN KTK KUDISCAS


Sent using Jamii Forums mobile app
Wairani 3 mstari wa 2020 unasema, Nao wale Mashia walisikika wakisema "Death to America,death to America" na ndipo hapo wakachoma Moto bendera ya America huku wakijipiga vifuani mwao kwa ghadhabu kuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom