Iranian Elections: Ahmedinejad's Victory and The Aftermath!

Ahmed Najadi ameiweka Irani kwenye world map, mwaka huu iran election imekuwa media covered around the world second baada ya America

Ahmed Najad hakuifanya Iran iwe popular kwa kuombaomba kama JK bali through Politics, Tech, economy, social, Libral etc Tunamengi ya kujifunza
 
ahmed najad ni kiongozi mzuri lakini aache vitisho na ubabe.sema kitu kingine nacho nawashangaa wa marekani wanampigia mkwara sana iran wakati north korea wao wanasema wazi wana silaha na bado wamarekani wanabaki hawajui waanzie wapi lol.na katoa mkwara mwingine leo.
 
Ahmadinejad wins Iran landslide victory

TEHRAN, Saturday,

June 13, 2009

Mahmoud Ahmadinejad has won a crushing victory in Iran's landmark presidential election, according to the country's authorities, but his moderate challenger Mir Hossein Mousavi has protested that the result was rigged after a record turnout of 84%.

Mousavi appealed directly to Ayatollah Ali Khamenei, but the country's supreme leader today threw his weight behind Ahmadinejad, urging the other candidates to support the president.

In a statement this morning Mousavi said: "I personally strongly protest the many obvious violations and I'm warning I will not surrender to this dangerous charade. The result of such performance by some officials will jeopardise the pillars of the Islamic Republic and will establish tyranny."

But Khamenei, who has final say on all state matters, called the result a "divine assessment" and called on all Iranians to support Ahmadinejad.

Speaking on state television this afternoon, he said: "I assume that enemies intend to eliminate the sweetness of the election with their hostile provocation."

Mousavi, a former prime minister, had been widely expected to trounce the controversial incumbent, or at least do well enough to trigger a run-off. He claimed victory in an apparent attempt to pre-empt his rival.

But as the votes were still being counted late on Friday, aides to Ahmadinejad announced that he had won by an "unassailable" margin after polling stations stayed open four extra hours to meet the huge demand.

Interior minister Sadeq Mahsouli said this afternoon that Ahmadinejad had won an overwhelming victory of 62.63% to Mousavi's 33.75%.

Even in Mousavi's hometown province of Tabriz in north-west Iran, the ministry claimed Ahmadinejad received more than 60% of the vote.

The outcome seems a grave setback to hopes for a solution to the looming international crisis over Iran's nuclear ambitions and for détente with the US in response to Barack Obama's overtures. Israel quickly demanded efforts to stop Iran acquiring nuclear weapons.

"It doesn't augur well for an early and peaceful settlement of the nuclear dispute," said Mark Fitzpatrick at London's International Institute for Strategic Studies.

The high turnout underscored the stakes domestically. Mousavi's slick *campaign galvanised an apathetic electorate and raised hopes of a more stable economy and increased liberty at home as well as better relations abroad.

Supporters had hoped Mousavi could have a similarly positive effect to Mohammad Khatami, who ushered in a period of change that ended when Ahmadinejad came from nowhere to capture the presidency four years ago.

Trita Parsi, the president of the Washington-based National Iranian American Council, expressed disbelief at the wide margin in Ahmadinejad's favour. "It is difficult to feel comfortable that this occurred without any cheating," Parsi told Reuters.

Ali Ansari, who heads the Institute for Iranian Studies at St Andrews University in Scotland, warned: "The potential for unrest is high."

As three weeks of often passionate campaigning drew to a close on Wednesday, the powerful Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) issued an ominous warning that any attempt at a popular "revolution" would be crushed.
 
Ndiyo demokrasia hiyo...ingawa siyo lazima kuwa wengi ndio walio sahihi...bado tunajifunza kuwa mabadiliko kuja ni kazi kwelikweli...
 
BRAVO!!!

Lakini bila shaka nchi za Magharibi (US na EU) hawakupendezewa, hasa kutokana na msimamo wa Ahmadinejad kuhusu suala la nuclear na hivyo nchi hiyo kuwa tishio kwa mteja wao mkubwa wa eneo hilo -- Israel.

Ajabu ni kwamba nchi hizo (US na EU) ni mabubu kuhusu mradi wa nuclear wa Israel uliopo Dimona ktk jangwa la Negev. Katika kituo hicho kilichopo chini ya ardhi kumehifadhiwa mabomu ya nuclear zaidi ya 200 na aliyetoa siri hiyo ulimwenguni ni nuclear technician Myahudi -- aitwaye Mordechai Vanunu -- aliyekuwa akifanya kazi hapo na baadaye katika miaka ya 80 alikimbilia Uingereza na kutoa siri hiyo iliyochapishwa sana kwenye magazeti.

Vanunu aliamatwa Italia na maajenti wa Mossad -- shirika la ujasusi la Israel, akapelekwa Israel, akashitakiwa na kuhukumiwa kufungwa miaka 15 jela -- kwa kutoa siri hiyo. Alimaliza kifungo chake miaka minne iliyopita.

Marekani na Israel inaibana sana Iran kuhusu mradi wake wa nuclear huku zikiwa kimya kuhusu ule wa Israel -- undumila kuwili ambao Dume Ahmadinejad amadhamiria kuupambana nao. Na anapambana nao!

Hongera Ahmedinajad.
 
BRAVO!!!

Lakini bila shaka nchi za Magharibi (US na EU) hawakupendezewa, hasa kutokana na msimamo wa Ahmadinejad kuhusu suala la nuclear na hivyo nchi hiyo kuwa tishio kwa mteja wao mkubwa wa eneo hilo -- Israel.

Ajabu ni kwamba nchi hizo (US na EU) ni mabubu kuhusu mradi wa nuclear wa Israel uliopo Dimona ktk jangwa la Negev. Katika kituo hicho kilichopo chini ya ardhi kumehifadhiwa mabomu ya nuclear zaidi ya 200 na aliyetoa siri hiyo ulimwenguni ni nuclear technician Myahudi -- aitwaye Mordechai Vanunu -- aliyekuwa akifanya kazi hapo na baadaye katika miaka ya 80 alikimbilia Uingereza na kutoa siri hiyo iliyochapishwa sana kwenye magazeti.

Vanunu aliamatwa Italia na maajenti wa Mossad -- shirika la ujasusi la Israel, akapelekwa Israel, akashitakiwa na kuhukumiwa kufungwa miaka 15 jela -- kwa kutoa siri hiyo. Alimaliza kifungo chake miaka minne iliyopita.

Marekani na Israel inaibana sana Iran kuhusu mradi wake wa nuclear huku zikiwa kimya kuhusu ule wa Israel -- undumila kuwili ambao Dume Ahmadinejad amadhamiria kuupambana nao. Na anapambana nao!

Hongera Ahmedinajad.


Asante mkuu, wengi hap jf wamekua brain washed au hawataki kusumbua vicha vyao kutafuta ukweli
 
BRAVO!!!

Lakini bila shaka nchi za Magharibi (US na EU) hawakupendezewa, hasa kutokana na msimamo wa Ahmadinejad kuhusu suala la nuclear na hivyo nchi hiyo kuwa tishio kwa mteja wao mkubwa wa eneo hilo -- Israel.

Ajabu ni kwamba nchi hizo (US na EU) ni mabubu kuhusu mradi wa nuclear wa Israel uliopo Dimona ktk jangwa la Negev. Katika kituo hicho kilichopo chini ya ardhi kumehifadhiwa mabomu ya nuclear zaidi ya 200 na aliyetoa siri hiyo ulimwenguni ni nuclear technician Myahudi -- aitwaye Mordechai Vanunu -- aliyekuwa akifanya kazi hapo na baadaye katika miaka ya 80 alikimbilia Uingereza na kutoa siri hiyo iliyochapishwa sana kwenye magazeti.

Vanunu aliamatwa Italia na maajenti wa Mossad -- shirika la ujasusi la Israel, akapelekwa Israel, akashitakiwa na kuhukumiwa kufungwa miaka 15 jela -- kwa kutoa siri hiyo. Alimaliza kifungo chake miaka minne iliyopita.

Marekani na Israel inaibana sana Iran kuhusu mradi wake wa nuclear huku zikiwa kimya kuhusu ule wa Israel -- undumila kuwili ambao Dume Ahmadinejad amadhamiria kuupambana nao. Na anapambana nao!

Hongera Ahmedinajad

_________________________________________

Hard Hitter:

Umenena ndugu yangu -- kuhusu undumila kuwili wa nchi hizo za wazungu kuhusu suala la nuclear. Iraq ilivamiwa na Marekani mwaka 2003 kwa sababu eti ilikuwa inamiliki silaha za maangamizi, pamoja na za nuclear na pia kuwemo magaidi wa AlQaeda. Silaha hizo hazikuwapo kama ilivyokuja kudhihirika baadaye na magaidi waliingia baada tu baada ya Marekani kuivamia Iraq.

Ajabu ni kwamba Marekani haikutaka kuivamia nchi ya Pakistan, ambayo inazo zana za nuclear (hakuna ubishi hapo) na pia kuwamo 'magaidi' kibao (wa taliban na Alqaeda). Isitoshe nchi hiyo -- Pakistan -- daima imekuwa katika migogoro ya kisiasa, kuwa na serikali dhaifu, na mara kadha imekuwa katika vita na jirani yake na hasimu wake mkubwa -- India (nayo pia ina silaha za nuclear).

Inashangaza kuona kwamba Marekani haioni iwapo silaha za nuclear za Pakistan -- na zile za India, ziko katika mikono isiyo ya salama, pamoja na hali ya wasiwasi iliyoko katika sehemu hiyo.

Ila Marekani inaona kuwa siklaha za nuclear (zinazotarajiwa kutengenezwa na Iran -- maana sasa hivi nchi hiyo haina silaha hizo) ndiyo hatari zaidi kwa ulimwengu!

Isitoshe, katika nchi zote hizo, yaani Iran, Israel, Pakistan, na India -- ni Iran pekee ndiyo iliyotia sahihi mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Kudhibiti usambazaji wa Technolojia ya Nuclear (IAEA).

Kusema kweli ni undumila kuwili kwa hali ya juu.
 
kwakweli huu ni upumbavu nuklia nuklia nini bwana.kwa mfano Tanzania tunavyoteseka na umeme wakati tuna ma uranium kibao eti tunaogopa watoa misaada acha bwana.
 
hivi vigezo gani vinatumika kuruhusu baadhi ya nchi kuwa na silaha za nuclear na nyingine kutokuwa nazo?na nani hasa ana hayo mamlaka ya kuamua na anayapataje??
 
BBC dakika chache zilizopita walikuwa wakionyesha live raia wakiwavamia polisi na kuvunja vitu mbali mbali katika jiji la Tehran. Hawa ni wale ambao hawakuridhika na matokeo ya uchaguzi huo. Nchi za magharibi pia zitakuwa zimepigwa na butwaa kwani nyingi zilikuwa hazitaki kuona 'mkorofi' Ahamadinejad akirudi tena madarakani.
 
Huyu Dr Ahmedinajad ni mtu asiyekuwa na makuu unapozungumzia maisha yake binafsi. waandishi wa habari wamekuwa wanafuatilia sana suti anazovaa na wamegundua kwamba ana majaketi kama matatu tu anayobadilisha kila mara. Pia inaelezwa kuwa anaishi katika nyumba ya urithi ya babu yake, nyumba ya kawaida tu kwani amekataa katakata kuishi katika jumba rasmi la Rais.

Aidha inaelezwa kuwa hupendelea kulala sakafuni, na siyo kitandani -- lakini pengine hii ni kutokana na matatizo ya kiafya. Gari yake binafsi ni Peugeot 504 ya miaka 70.

Anaongoza mojawapo ya nchi tajiri sana, utajiri utokanao na mafuta. Hebu fikiria Bongo yetu hii ndiyo ingekuwa Iran kwa utajiri huo -- jinsi viongozi wake wangekuwa wanavyojitanua kwa mapesa ya wananchi!!!
 
Back
Top Bottom