Iran yaushambulia kwa bomu Uwanja wa ndege wa Dubai leo, Machi 7, 2026

Iran yaushambulia kwa bomu Uwanja wa ndege wa Dubai leo, Machi 7, 2026

Mawele

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
354
Reaction score
1,042
Iran imeushambulia uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dubai kwa drone ya kivita leo Jumamosi March 07,2026.

Tayari Mashirika ya ndege ya Kimataifa ikiwemo Emirates yametangaza kusititisha safari zote za ndege za kuingia na kutoka Dubai na kutoa onyo kwa abiria kutotembelea eneo hilo hadi taarifa zaidi zitolewe.

Pia soma: Drones za Iran zavamia Dubai International Airport
 
alafu mbwa kama huyu unakaa nae Oman kutafuta suluhuu ujinga kabisaa
kwani UAE si wamewapa kazi Jesh la Marekan kulinda iyo nchi !!!!

vipi wakowapi Mgambo wa Marekani kidrone kinapenya kiwepesi ivi!¿¿¿
sasa kaziyao ilikuwa ipi apo UAE mbona aibu huu mwaka ,

UAE inabidi iwafute kazi vibarua wote wanaojiita Jesh la USA majinga matupu.
 
Iran imeushambulia uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dubai kwa drone ya kivita leo Jumamosi March 07,2026.

Tayari Mashirika ya ndege ya Kimataifa ikiwemo Emirates yametangaza kusititisha safari zote za ndege za kuingia na kutoka Dubai na kutoa onyo kwa abiria kutotembelea eneo hilo hadi taarifa zaidi zitolewe.

Pia soma: Drones za Iran zavamia Dubai International Airport
ila wabongo kwa taarifa za kuokoteza mitandaoni duuhh. hamjambo
 
Back
Top Bottom