Kufuatia Agizo la dikteta Ayatollah kuwa kesi za waandamanji waliokamatwa ziende haraka na wahalifu wapate adhabu wanayostahili, zoezi la kuwanyonga waandamanaji waliokuwa wamekamatwa lilitakiwa lianze leo nchini kote. Kutokana na taarifa hiyo Marekani ilijiandaa kuingilia kati kijeshi mara moja. Baada ya tishio la kushambuliwa kijeshi na Marekani, Iran imefuta mara moja utekelezaji wa mauaji hayo. Waziri wa mambo ya nje wa Iran amesema kuwa watu hao hawatanyongwa leo wala kesho au siku yoyote.
Kutokana na usitishaji wa mauaji hayo Rais Trump amesimamisha mpango wa kuishambulia Iran kijeshi kwa sasa, lakini akasema hawajafuta moja kwa moja, wanaendelea kufuatilia.
Mungu ambariki Trump kwa kuokoa uhai wa hawa waliotakiwa kunyongwa leo, na wale ambao wangefuatia. Maana waliokamatwa na kujazwa magerezani kusubiria hukumu, ni zaidi ya waandamanaji elfu 10.
Iran kupitia Waziri wake wa Mambo ya nje, imeomba mazungumzo na Marekani, na kusema kuwa busara itumike kuliko kuchagua njia yenye madhara mabaya. Wakati huo huo, baada ya Rais Trump kusema kuwa wamesitisha mpango wa kuishambulia Iran, Iran imetangaza kufungua anga lake baada ya kulifunga tangu jana.
The president said at the White House that “very important sources on the other side” had also now assured him that Iranian executions would not go ahead, Agence France-Presse is reporting.
“They’ve said the killing has stopped and the executions won’t take place,” Trump said.
As reported earlier, Iranian foreign minister Abbas Araghchi later told Fox News that “hanging is out of the question”, saying there would “no hanging today or tomorrow”.
“I can tell you, I’m confident that there is no plan for hanging,” he said, while accusing Israel of orchestrating violence, without providing evidence.
Kutokana na usitishaji wa mauaji hayo Rais Trump amesimamisha mpango wa kuishambulia Iran kijeshi kwa sasa, lakini akasema hawajafuta moja kwa moja, wanaendelea kufuatilia.
Mungu ambariki Trump kwa kuokoa uhai wa hawa waliotakiwa kunyongwa leo, na wale ambao wangefuatia. Maana waliokamatwa na kujazwa magerezani kusubiria hukumu, ni zaidi ya waandamanaji elfu 10.
Iran kupitia Waziri wake wa Mambo ya nje, imeomba mazungumzo na Marekani, na kusema kuwa busara itumike kuliko kuchagua njia yenye madhara mabaya. Wakati huo huo, baada ya Rais Trump kusema kuwa wamesitisha mpango wa kuishambulia Iran, Iran imetangaza kufungua anga lake baada ya kulifunga tangu jana.
Iran's stopped killing protesters, Trump says he has been told
Donald Trump says he has been assured the killing of Iranian protesters has been halted, while adding he will “watch it and see”.The president said at the White House that “very important sources on the other side” had also now assured him that Iranian executions would not go ahead, Agence France-Presse is reporting.
“They’ve said the killing has stopped and the executions won’t take place,” Trump said.
Asked if US military action was now off the table, Trump replied: “We’re going to watch it and see what the process is.”There were supposed to be a lot of executions today and that the executions won’t take place – and we’re going to find out.
As reported earlier, Iranian foreign minister Abbas Araghchi later told Fox News that “hanging is out of the question”, saying there would “no hanging today or tomorrow”.
“I can tell you, I’m confident that there is no plan for hanging,” he said, while accusing Israel of orchestrating violence, without providing evidence.
- Iranian foreign minister Araghchi insisted the situation was “under control”, and urged the US to engage in diplomacy. “Now there’s calm. We have everything under control, and let’s hope that wisdom prevails and we don’t end up in a situation of high tension that would be catastrophic"