fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,309
- 2,719
Hamna hiyo kitu
Hivi Iran mpaka inaitishia Israel kuifuta kwenye uso wa dunia hawakusoma historia ya israel waliojaribu kuwafuta waisrael kilichowapata mimi naona Iran ingeingia mkataba wa amani na Israel kuliko kuwa maadui na Israel