Iran yaangusha F-35 ya Kimarekani

Iran yaangusha F-35 ya Kimarekani

Umekuwa mkali hautaki ukweli, F-35 ni kopo

Bajeti ya dola trilion 1.5 miaka 30 ya kubuni F-35

Mpango wa silaha uliogharimu zaidi katika historia ya binadamu

Wazo lilikuwa ni moja tu adui hawezi kuiona

Mamaé jana, Iran kathibitisha ulikuwa mpango wa kitapeli

Lockheed na matapeli wenzake Northrop na BAE wamepiga kibunda wamesepa
Umesema ndege imepigwa na air defense system ya Iran. Maana yake ilikuwa Iran.

Nakuuliza swali, hiyo ndege imeangukia wapi?
 
Back
Top Bottom