mkulimamiwa
JF-Expert Member
- Mar 4, 2025
- 2,270
- 4,489
Hili swali mkuu, halijibikiHivi baada ya Netanyahu kuuwawa (kama ulivyotutangazia) ATAZIKWA LINI VILE?.
Hili swali mkuu, halijibikiHivi baada ya Netanyahu kuuwawa (kama ulivyotutangazia) ATAZIKWA LINI VILE?.
Hii habari nilikua nasubiri niiverify tayari media zote zimeverify CNN, ALJAZEERA na BBC
Hili ni pigo kubwa US kumbuka hii ndege gharama yake ni matrilioni ya pesa
Halafu jamaa wametumia mfumo w kawaida tu wa kiiran kuiangusha.
Tatizo la Wairan hayo mabaki watayachukua na soon watatoka na ya kwa Mpya wataaita "P-35"
TRUMP: "Iran’s air defense is gone, no one is even shooting at us anymore."
REALITY: Moments ago, CENTCOM announced that a U.S. F-35 fighter jet was struck flying over Iran, with a pilot injured...
For the first time in HISTORY, an American F-35 jet has been hit.
Iranian air defenses are hitting our best jets.
Trump said today all of Iran’s defenses are destroyed.
BREAKING: A Fifth Generation F-35 U.S. fighter jet was HIT over the skies of IRAN. An American soldier was injured as a result of the accident.
So much for the 'most advanced aircraft' in the world...
View: https://x.com/i/status/2034664031433150959
View attachment 3560222View attachment 3560223
Watasema ni Ai 🤣T14 Armata HIMARS njoo mchukue takataka lenu huku limedunguliwa
HawachelewiWatasema ni Ai 🤣
Ndio Hoja Yao nzito tangu vita ianze 😄😄Hawachelewi
Kuna 'search party' ya hiyo ndege huko Saudi Arabia,hizo habari za ilitua vizuri ni ku-diluteHii imepigiwa kelele kuliko uhalisia wake 😄
Kwanza, taarifa kamili zinaonyesha ndege haikuangushwa, iliweza kutua salama na rubani yuko katika hali nzuri,
si “pigo kubwa” kama inavyopakwa chumvi, ni tukio la kawaida la kijeshi linalofanyiwa uchunguzi.
Video inayosambazwa na Iran ikiilenga F‑35 inaonekana imetengenezwa na AI, kama walichofanya siku chache zilizopita kutengeneza video za kushambulia meli za Marekani na kuzusha kifo cha Netanyahu.
Huwezi kulinganisha na Ayatollah kuweka rekodi ya kubamizwa ndani ya sekunde 40
Imeanguka wapi tukaichukue?T14 Armata HIMARS njoo mchukue takataka lenu huku limedunguliwa
Hii habari nilikua nasubiri niiverify tayari media zote zimeverify CNN, ALJAZEERA na BBC
Hili ni pigo kubwa US kumbuka hii ndege gharama yake ni matrilioni ya pesa
Halafu jamaa wametumia mfumo w kawaida tu wa kiiran kuiangusha.
Tatizo la Wairan hayo mabaki watayachukua na soon watatoka na ya kwa Mpya wataaita "P-35"
TRUMP: "Iran’s air defense is gone, no one is even shooting at us anymore."
REALITY: Moments ago, CENTCOM announced that a U.S. F-35 fighter jet was struck flying over Iran, with a pilot injured...
For the first time in HISTORY, an American F-35 jet has been hit.
Iranian air defenses are hitting our best jets.
Trump said today all of Iran’s defenses are destroyed.
BREAKING: A Fifth Generation F-35 U.S. fighter jet was HIT over the skies of IRAN. An American soldier was injured as a result of the accident.
So much for the 'most advanced aircraft' in the world...
View: https://x.com/i/status/2034664031433150959
View attachment 3560222View attachment 3560223
Haijaanguka bhana..T14 Armata HIMARS njoo mchukue takataka lenu huku limedunguliwa
Yaani hapo cha umuhimu sio kuanguka, skrepa lenu liko kambini linafuka moshiImeanguka wapi tukaichukue?
Usiwe mbumbumbu. Umeulizwa ndege imeanguka wapi, jibu swali.Yaani hapo cha umuhimu sio kuanguka, skrepa lenu liko kambini linafuka moshi
Tunachoangalia ni uwezo wa air defense za Iran kudetect, kutrack, kulock na kuhit F-35
F-35 stealth fighter ya mchongo 😅
Kama Iran tu wameweza kuidetect na kui-hit vipi China na Russia?
Kwamba ndege imepigwa ikiwa Iran ikaangukia Israel kwenye airbase?Bado hujasema mzee🤣 ndege inapigwa na air defense unasema imepata hitilafu hadi footage zimewekwa
Mambo mengine yapi?kimsboy hivi muda unaopoteza kuokoteza hivi habari so ungeutumia kwa mambo mengine?
Mlisema Iran haina Air defense tena na kwamba US inatawala anga sasa waliwezaje kuipiga hadi ikafanye emergency landing? Tuliambiwa hazionekani kwenye radar so hii inaprove kuwa ni uongo.Hii imepigiwa kelele kuliko uhalisia wake 😄
Kwanza, taarifa kamili zinaonyesha ndege haikuangushwa, iliweza kutua salama na rubani yuko katika hali nzuri,
si “pigo kubwa” kama inavyopakwa chumvi, ni tukio la kawaida la kijeshi linalofanyiwa uchunguzi.
Video inayosambazwa na Iran ikiilenga F‑35 inaonekana imetengenezwa na AI, kama walichofanya siku chache zilizopita kutengeneza video za kushambulia meli za Marekani na kuzusha kifo cha Netanyahu.
Huwezi kulinganisha na Ayatollah kuweka rekodi ya kubamizwa ndani ya sekunde 40
Ipo verified na CCN alafu sio Justin kama jina ni Just In yaani page ya kuweka updates. Jifunze lugha punguza ujuaji.Alafu page inaitwa 'daily news justin'
Iranian outlets have published a statement by Iran's Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) confirming that Ali Mohammad Naini, the IRGC's spokesman, has been killed in a strike.Bado hujasema mzee🤣 ndege inapigwa na air defense unasema imepata hitilafu hadi footage zimewekwa
Umekuwa mkali hautaki ukweli, F-35 ni kopoUsiwe mbumbumbu. Umeulizwa ndege imeanguka wapi, jibu swali.