Iran wafanya jeuri lingine wamchezea sharubu Trump,siku ya jana wamerusha kombora lingine

mcomunisti halisi

Senior Member
Jan 17, 2017
103
328
Picha za satellite zimeonyesha siku ya jana Iran wamefanya jaribio la kurusha makombora kwa mujibu wa maofisa wa US

Siku ya jana jumatano Iran walirusha kombora la masafa mafupi ambayo imekwenda umbali wa mile 35 -kwa mujibu wa ofisa wa US

jaribio hili mpya limekuja baada ya wiki tu US kuwawekea vikwazo Iran.Kumekuwa na hali ya moshi na wingu la gesi katika eneo la semnan ambapo makombora hurushwa,Semnan ipo mile 145 mashariki mwa Tehran.

Inaripotiwa ya kwamba kombora lililorushwa jana limetengenezwa kwaajili ya kutungua roketi au kuharibu makombora mengine

Tunatizama kwa uangalifu maendeleo ya jeshi la Iran -ofisa wa US

mnamo tarehe 29 january Iran walirusha kombora la masafa ya kati lenye uwezo wa kubeba vichwa vya nyuklia jambo lililozua taharuki na mkutano wa dharura wa baraza la usalama wa umoja wa mataifa uliitishwa na siku iliyofuata White house walitoa kauli kutoka kwa mshauri wa mambo ya usalama nchini US Mike Flynn kuwa amewaweka Iran kwenye notice huku Rais Trump aki-tweet sawa na Flynn.


Maazimio ya UN 2231 inaitaka/imewapa wito Iran wasifanye majaribio ya makombora lakini haiwakatazi Iran kurusha /kufanya majaribio hayo.Maazimio hayo yaliwekwa siku ya kilele cha kufanikiwa kusainiwa dili ya Nucleur baina ya nchi za magharibi,US

siku za hivi karibuni kumekuwa na majibizano ya hapa na pale baina ya uongozi wa Trump na uongozi wa Rouhani ,Uongozi wa Trump upo katika hatua za awali kulitangaza jeshi la Iran kuwa ni taasisi nambari moja ya kigaidi duniani,ina taarifiwa maofisa wa juu na washauri wa Trump wapo katika mazungumzo ya kuamua kuitangaza na kuijumuisha jeshi la watu wa Iran kuwa ni taasisi ya kigaidi,ni juzi tu Rais Trump ali tweet ya kwamba Iran ni nchi ya kigaidi duniani .

missille.jpg
 
Hii dunia usipokuwa na uwezo wa kuwa na nyuklia unawezatiwa vidole vya macho Sasa dawa ni kuwa nazo ukitiwa kidole cha jicho nawe mtwange dole la kati pande zile za nyuma
 
Si waingie uwanjani nishuhudie huu mpambano nikiwa hai
Wakianza kupigana wew utaenda wapi kusimulia kilichotokea? Tambua kuw Yale ndiy mataifa makubwa duniani.hakuna taifa litaweza kusuluhisha bila kupoteza uhai wa viumbe wke
Picha za satellite zimeonyesha siku ya jana Iran wamefanya jaribio la kurusha makombora kwa mujibu wa maofisa wa US

Siku ya jana jumatano Iran walirusha kombora la masafa mafupi ambayo imekwenda umbali wa mile 35 -kwa mujibu wa ofisa wa US

jaribio hili mpya limekuja baada ya wiki tu US kuwawekea vikwazo Iran.Kumekuwa na hali ya moshi na wingu la gesi katika eneo la semnan ambapo makombora hurushwa,Semnan ipo mile 145 mashariki mwa Tehran.

Inaripotiwa ya kwamba kombora lililorushwa jana limetengenezwa kwaajili ya kutungua roketi au kuharibu makombora mengine

Tunatizama kwa uangalifu maendeleo ya jeshi la Iran -ofisa wa US

mnamo tarehe 29 january Iran walirusha kombora la masafa ya kati lenye uwezo wa kubeba vichwa vya nyuklia jambo lililozua taharuki na mkutano wa dharura wa baraza la usalama wa umoja wa mataifa uliitishwa na siku iliyofuata White house walitoa kauli kutoka kwa mshauri wa mambo ya usalama nchini US Mike Flynn kuwa amewaweka Iran kwenye notice huku Rais Trump aki-tweet sawa na Flynn.


Maazimio ya UN 2231 inaitaka/imewapa wito Iran wasifanye majaribio ya makombora lakini haiwakatazi Iran kurusha /kufanya majaribio hayo.Maazimio hayo yaliwekwa siku ya kilele cha kufanikiwa kusainiwa dili ya Nucleur baina ya nchi za magharibi,US

siku za hivi karibuni kumekuwa na majibizano ya hapa na pale baina ya uongozi wa Trump na uongozi wa Rouhani ,Uongozi wa Trump upo katika hatua za awali kulitangaza jeshi la Iran kuwa ni taasisi nambari moja ya kigaidi duniani,ina taarifiwa maofisa wa juu na washauri wa Trump wapo katika mazungumzo ya kuamua kuitangaza na kuijumuisha jeshi la watu wa Iran kuwa ni taasisi ya kigaidi,ni juzi tu Rais Trump ali tweet ya kwamba Iran ni nchi ya kigaidi duniani .

View attachment 468734

 
Iran nae anajidhatiti. Huku North Korea anajiimarisha zaidi. Raha ilioje hii.

Nasi mkulu aanzishe mchakato wa kuzarisha haya mabomu maana ni deal kubwa sana si madini tunayo!!
 
Hakikisheni linafika Israel
Tangu enzi za uongozi wa Musa, Israeli imekuwa ikipigana vita na mataifa mengi.

Hawa jamaa ni wazoefu wa vita, usiwachukulie kikapuku kapuku.

Zaidi ya yote, wanao ulinzi wa jeshi LISILOONEKANA.

[HASHTAG]#Asomaye[/HASHTAG] na afahamu#
 
Season ndo Kwanza imeanza hata mwez bado kufika aka Trump tutashuhudia mengi mapambano maneno maneno yataisha vitendo vitakuja.
 
Back
Top Bottom